Nazani mkuu wetu hawezi paramia mambo....SANYINGI AMESHAONA NA MLANGO WA KUTOKEA???KUNATETESI KUWA BAADHI YA MAKAMPUNI YATAFUTIWA LESENI....SIJUI MMEONA NA HAPO?
Kiukweli watu wengi sasa hv wana mahangaiko mengi na changamoto nyingi ya maisha...hivyo wakisikia kuna msaada mahali watajazana hapo..tena hata kwa kutoa pesa.....tatizo imani hakuna....NENO la Mungu linasema kuwa "Mwana wa adamu atakapokuja ataikuta imani duniani?" Tujipime
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.