Dr Slaa hawezi kuodoka Chadema hata Kama mtajaribu kumnunua kwa mabilioni.
Dr Slaa si mroho Wa vyeo kiasi kwamba asipopewa nafasi ya kugombea urais ndio aondoke kwenye Chama!
Ni kweli Masharti ni magumu lakini yanawezekana. Inabidi Lowasa afanye Maamuzi magumu.
Kule CCM hawamtaki. Pia hatutaki aje kuvuruga vyama ndani ya UKAWA. Ni vizuri akaingia smoothly.
Hayo masharti ni compromise nzuri kwa pande zote
Ni vizuri Lowassa akakubaliwa UKAWA kwa masharti yafuatayo;
Aikane CCM hadharani.
Azikane mila za kifisadi za CCM.
Kama ufisadi anasingiziwa basi aseme kwa nini anasingiziwa.
Awakane marafiki zake mafisadi kama Rostan na Karamagi.
Aahidi kutosaliti UKAWA.
Awe mwanachama wa -NCCR mageuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.