Dr.WHO,kama umesomea udaktari kweli najua ulipiti somo la 'CRITICAL THINKING' UMESOMA RESEARCH,nafikiri ulitafuta kazi ya kukupa ugali tu na si kuelimika na kufikiri vitu kwa mbali sana,mtoto aliyekojolea hicho kitabu mnayajua maisha yake anaweza akaitwa Yohana kwa kuzaliwa,lakini matendo yake...
Soko halieleweki nilikuwa huko wazawa utazani machinga wakiuza nguo za kichina mtaa wa kongo kila mtu kashika mkononi jiwe lake na mtu anahama hapa na kuelekea kwa yule,na anayekwenda mjini Arusha katika soko la wachuuzi wakubwa hajui atauzaje uzaje anaweza akauza kwa bei anayoambiwa ,tufikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.