Search results

  1. Lyampinga

    DC Ali Hapi awanyang'anya ofisi Wabunge Mdee, Mnyika na Kubenea wa CHADEMA. Kubenea ang'aka...

    Busara kwa viongozi vijana ni tatizo. Namuonea huruma
  2. Lyampinga

    Serikali yamfungia Msanii kwa kuweka picha ya utupu Mtandaoni, na BASATA yawataka watayarishaji wa Muziki wajisajili

    Sitaki kuamini haya mambo, waziri kakosa kazi naona. Kama yeye mjanja awapeleke mahakamani Basi. Serikali ya vi wonder
  3. Lyampinga

    TAJA MATATIZO YALIYOWAKUNBA WATANZANIA MWAKA 2017

    Kuwa na mtukufu asiyejua anatakiwa kufanya nini ili kuleta maendeleo.
  4. Lyampinga

    Vyumaa: Leo nimemuona tajiri anagawana sh elfu tano na familia!

    Akili za mtukufu hizi, kuona wenye nazo wanapata shida. Hakuna nchi duniani inaendelea bila middle class (kwa lugha za mtaani matajiri). Unafarijika kwa vyuma kukaza kwa mtu baki, akili hizi unazipata chattle tu
  5. Lyampinga

    Askofu Bagonza: Hoja hufungwa kwa hoja, si kwa kifungo wala mahabusu

    Safi sana, naona kazi ya kutetea dhuluma imeanza
  6. Lyampinga

    Ucheleshwaji wa kupata passport, nini kinaendelea Uhamiaji?

    Lingekuwa jambo la busara kama idara ya uhamiaji ingetoa tamko kuhusu ucheleshwaji wa hati za kusafiria.
  7. Lyampinga

    Ucheleshwaji wa kupata passport, nini kinaendelea Uhamiaji?

    Hauitaji sababu zaidi ya kuwa na dhumuni la kwenda nje, shida hamsomi sheria, tunatumia ubabe zaidi, nimekuwekea jinsi ya kupata passport kisheria na hakuna takwa linalotaka uwe na sababu zaidi ya kuwa na nia ya kwenda nje ya nchi.
  8. Lyampinga

    Ucheleshwaji wa kupata passport, nini kinaendelea Uhamiaji?

    Ni wajibu wakila mtanzania, tena kikatiba kuwa na hati ya kusafiria iwapo atakuwa na safari nje ya nchi...
  9. Lyampinga

    Ucheleshwaji wa kupata passport, nini kinaendelea Uhamiaji?

    Nimekuwa nafuatilia passport tangu mwezi wa saba mwaka huu, kila siku napigwa kalenda. Passport ilitakiwa kuchukuliwa mwezi wa nane lakini mpaka leo bado. Ukifuatilia unaambiwa nenda makao makuu, kule napo wana majibu ya rejareja kweli, unaambiwa passport yako bado, bila kuambiwa iko hatua gani...
  10. Lyampinga

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Magufuli inabidi asikilize ushauri wa watu na aache mambo ya you can’t question rais. Wengi kwenye mioyo tunasononeka na yeye, tunamuachia mungu tu, na mimi sio mpiga dili kama ambavyo yeye anapenda ku ‘generalize’
  11. Lyampinga

    Du! kumbe Meli ya Kichina ilitoa huduma bure Djibouti, Gabon, Sierra Leone, DRC, Angola, na Msumbiji

    Lakini kwa Tanzania kwa maneno ya Mkuu wa Mkoa mheshimiwa Rais amelipia matibabu ya bure kwa wananchi wa mkoa wake.:(
  12. Lyampinga

    Binti mdogo kutoka Kenya akijibu kuhusu Watanzania; "I don`t like their Logic"

    This goes to prove how illogical some people are
  13. Lyampinga

    IGP Sirro: Mjadala wa Tundu Lissu kupigwa risasi ufungwe mara moja

    I did value the guy so highly, he has proven today to be a ‘puppet’ of Baba J
  14. Lyampinga

    Morogoro: Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali(CHADEMA) akamatwa na Polisi

    Yaani kila siku zinavyozidi kwenda kwenye awamu hii, sielewi focus ni nini. Viwanda? Kushika madini? Kufunga watu bila makosa? Kukamata wapinzani? Kuboresha maisha? Sielewi yaani...
  15. Lyampinga

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Jitu zima akili za kitoto... anatakiwa awe analea wajukuu sasahivi
  16. Lyampinga

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Huyu jamaa mwili wake hauendani na akili zake... Nikimuona ni kama nimeona kubwa jinga
Back
Top Bottom