Khaa'yaaan kifo kimemkuta kisa? Halaf RVP wala hajui na hata jua kuwa kunamtu amekufa kisa na sababu ni yeye 'huu unazi wa hivi tuachane nao aisee hayo siyo mapenzi bali ni mahaba Mweeh'May His Soul Rest in Peace
Hawa wazee frm dsm wameboa sana kwakweli yaan hovyo kabisa! Halafu Jestita muhagama amepiga simu amepanic mwisho wasiku eti hao wazee wapo sawa Khaa! Hovyo kabisaa 'mzee kachemka mpaka amesababisha hawa mtangazaj aombe Radhi kwa ITV aisee StarTv muwe mnatuletea watu walio timamu maana tunaacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.