Ungekuwa mwana mbeya usingeongea hayo maneno ya kutumwa na basi la Lumumba. Unafikir wanaume wa mbeya kama wa Dar? Hatuyumbishwi na tunataka mbunge wa jiji letu aendelee kututumikia akiwa nje.
Hiyo career ina watu smart sana na hata siku moja hawawez fanya ujambazi bila kuwa na usafiri wa kuwatoa eneo la tulio na gari huwa silence au boda boda bse wanajua anything can happen. Sasa from no where wamkute mtu anapark gar yake wasepe nae...... sema hii ni story tu kama ndoto za abunuasi...
Usipanic mkuu. Kijana inaonyesha anaishi mitaa ya sinza mori kwa hyo kila siku anajisevia na wale huwez amka ukaondoka na kengele zako bila kuacha morning glory
Valentine ya mwaka jana nilipata demu mpya na tulienjoy hotel moja hapa jijini Dsm na baadae uwanja wa maangamizi. Baada ya maadalizi mafupi nikaanza ingiza gegedo langu taratiibuuu mara nikaanza sikia matusi hatar mpaka kiungo cha mama kikasemwa ila kwa kihaba fulan hiv. Mademu achen kutukana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.