Jaman wana jf nataka kuanza kufuga kuku Wa kienyeji! sasa sijui wanachukua mda gani tangu watotolewe hadi kufikia kuweza kuliwa! naombeni msaada! wenu!
Hawa ni wafuasi tu wa serikali, hawajui kuwa wao wanao andika haya maneno ni wanatumiwa tu, wenzao wanakula wao wanateseka, Jaman waandishi wa hir gazeti tufuate miiko ya uandishi yani kama hatujasoma bwana. Kuna msemo husema ukiambiwa kitu changanya na akili zako si kukubar tu.
Kwa kweli mungu tusaidie watanzania tuwe ufahamu wa kuchambua vitu, mana hizi siasa za tanzania zinatumia watu kuwadanganya wenzao, hili gazeti linajaribu kupotosho ukweli. Ila mungu ataja lipa kwa huu uongo wote mnao ufanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.