Search results

  1. M

    Hapana Chezea mkurya

    Haaahaahaa Haaahaahaa sirudi tena hum.
  2. M

    Stupid question, stupid answer

    Haaahaahaa
  3. M

    Screen touch

    Nimecheka mpaka nimepata kiu.
  4. M

    Ebu niambie mpenzi wako wa kwanza ndo huyo mpaka leo?

    mpaka machozi yamenitiririka!!!!! aisee watu weanaish na mazito myoni!
  5. M

    Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

    mtamu lakini hakuna raha kama unapokuwa na mwanaume ambaye una uhuru naye na hata mkienda sehem una amani. huyo mume wa mtu mkiwa chumbani mlango ukigongwa kdg tu lazma kijasho kiwatoke... yan kila siku we unakuwa mtu wa kutembea na hofu ya kifumaniwa.... na hata kama mke wake hakujui ukimuona...
  6. M

    Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

    kweli kuna mume ambaye hajawahi kutoka nje ya ndoa kabisa?!!! hata wa hum ndani watakaa ila moyoni nwao nafsi zina wasunta.
  7. M

    ushauri pliz: Nafikiria divorce

    my dear kama ni kuvunja ndoa yako vunja tu ila sio eti uende kwa huyo jamaa wa 42yrs.
  8. M

    Uume hausimami nyumbani

    angalia kaka usije ukaugua na ugonjwa ukifika kwa mkeo pochi halifunguki linafungukia kwa ki......
  9. M

    Hisia 8 hatari

    Hapo kwenye hisia umenigusa..
  10. M

    Nilitaka kumuua mke na mtoto wa 'my best friend' kwa risasi!

    bora niagze launch, king'ast mi nletee ugali tembele.
  11. M

    Nilitaka kumuua mke na mtoto wa 'my best friend' kwa risasi!

    mh! Nimechukiaje!! Yan nimeanza kuisoma leo nkajua kwakuwa nimechelewa ntakuta kamaliza kumbe baaaaado? Kana nke ubhaye mura?
  12. M

    Upendo wa MAMA kwa WANAE

    nampenda sana mama yangu zaidi ya sana ni mwanamke jasiri sana. Baada ya baba kufariki miaka 18 iliyopita alimwachia watoto sita na wamwisho akiwa na 2month, alinyang'anywa kila kitu had kad zetu za clinic, hakuwa na elimu so kazi pekee aloweza kuimudu ni uhudumu wa baa yan baamed amefanya hyo...
  13. M

    Nini Faida na Hasara za kufumania? Je kuna umuhimu wa kwenda kufumania?

    sitasahau nilimfumania mume wangu uchi na mwanamke niliambulia kipigo cha maana had nikapoteza ujauzito wa miez 5.nilimfatilia kwenye cm yake had nkajua hotel waliomo. nilimsamehe tukaendelea., had nikakaa miaka 4 bila kubeba mimba ingne,nashukuru mungu mwaka huu nilibahatika nategemea...
  14. M

    kwa nini harusi kama hizi ndio ndoa yake udumu sana kuliko ambazo tumezoea sisi

    ndoa za hivyo hazina gharama wala kusumbua watu na mi msg ya kuomba mchango, ukumbi home, ng'ombe babu anatoa unga na mchele mama alilima, soda ni togwa shangaz kapika nyanya mboga haziungwi, msosi ni ugali na wali na nyama ambayo haijaungu afu huwa vinakuwa vitam balaaa. Yan gharama haizidi...
  15. M

    Pombe gani hizi zisizo na kipimo?

    mkuu kipimo si hcho kimelowanisha suruali.
  16. M

    new member

    karibuni ingawa na mi ni mwenyeji kiduchu,, wedhangu mnajua kidhungu!!
  17. M

    new member

    karibuni ingawa na mi ni mwenyeji kiduchu,, wedhangu mnajua kidhungu!!
  18. M

    Mwaliko wa ubarikio

    duh! Ningekuwa cjachoshwa na hii mimba ningetokelezea pande hzo, nimetamanijee kumjua hata mmoja wa wa hum jf!!
  19. M

    Naomba ushauri,Housegirl kanilengesha mpaka Nimetembea naye

    mh! Ah wanaume pasua kichwa kwl, et utaonwa mtu wa ajabu na huku mpaka sa hv ushakuwa wa ajabu, cha kufanya mfukuze akiendelea kuwepo utaendelea kumnjunju kila siku. Na utaipoteza furaha ya familia yako.
  20. M

    Mali za marehemu sharo milionea zapatikana, watuhumiwa mbaroni

    kweli siku ya mwisho hawa ndo watakuwa kuni.
Back
Top Bottom