mtamu lakini hakuna raha kama unapokuwa na mwanaume ambaye una uhuru naye na hata mkienda sehem una amani. huyo mume wa mtu mkiwa chumbani mlango ukigongwa kdg tu lazma kijasho kiwatoke... yan kila siku we unakuwa mtu wa kutembea na hofu ya kifumaniwa....
na hata kama mke wake hakujui ukimuona...
nampenda sana mama yangu zaidi ya sana ni mwanamke jasiri sana. Baada ya baba kufariki miaka 18 iliyopita alimwachia watoto sita na wamwisho akiwa na 2month, alinyang'anywa kila kitu had kad zetu za clinic, hakuwa na elimu so kazi pekee aloweza kuimudu ni uhudumu wa baa yan baamed amefanya hyo...
sitasahau nilimfumania mume wangu uchi na mwanamke niliambulia kipigo cha maana had nikapoteza ujauzito wa miez 5.nilimfatilia kwenye cm yake had nkajua hotel waliomo. nilimsamehe tukaendelea., had nikakaa miaka 4 bila kubeba mimba ingne,nashukuru mungu mwaka huu nilibahatika nategemea...
ndoa za hivyo hazina gharama wala kusumbua watu na mi msg ya kuomba mchango, ukumbi home, ng'ombe babu anatoa unga na mchele mama alilima, soda ni togwa shangaz kapika nyanya mboga haziungwi, msosi ni ugali na wali na nyama ambayo haijaungu afu huwa vinakuwa vitam balaaa. Yan gharama haizidi...
mh! Ah wanaume pasua kichwa kwl, et utaonwa mtu wa ajabu na huku mpaka sa hv ushakuwa wa ajabu, cha kufanya mfukuze akiendelea kuwepo utaendelea kumnjunju kila siku. Na utaipoteza furaha ya familia yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.