Search results

  1. S

    Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

    Ndio hivyo watu wanafikiria mini badala ya mikoa. Kimaendeleo ya makazi sio ajabu Tanga kuizidi Arusha. Kama ulivyosema ukiacha Arusha na Arumeru kwingine hali sio kutokana na jamii za ufugaji.
  2. S

    Watumishi wa umma kutomuunga mkono Rais Magufuli 2020!

    Tupe wewe huo ukweli. Alichosema ndio ukweli
  3. S

    Je, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni bush lawyer? amejisahau? anapotosha? au anahitaji elimu?

    Kwahiyo kwa Mboye ilibidi rufaa imalize kusikilizwa ndio wawe huru ila kwa hukumu hii hakuna kinachosimama. Nchi hii tunaelekea wapi?
  4. S

    Tundu Antipas Lissu akiwa London amenifikirisha "sana" juu ya uimara wa Bunge letu!

    Hahhahahha! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Mjadala: Nini kingetokea Serikali isingeingilia biashara ya zao la korosho?

    Hakuna mnada uliowahi kutaka kununua korosho kwa tshs. 1,500. Bei oliwahi kufikiwa kwenye minada ni kuanzia tshs. 2,500 hadi 2,700. Naona umeleta mjadala wa kitu ambacho hukielewi. Tshs. 1,500 ilikuwa bei elekezi na sio bei ya solo. Hivyo kama siasa isingeingia wakulima wangeuza kuanzia...
  6. S

    Hali huku Kusini bado ni mbaya sana, korosho haijalipwa. Je, watanzania wenzetu wametuacha tufe nalo?

    Ukweli ni kuwa moja ya mambo yanayochoche uzalishaji wa korosho ni kqngomba. Kwa nini? 1. Wakulima wengi was korosho ni masikini kwani wanategemea zaidi zao moja au mawili au ya msimu. 2. Kwa kutegemea mazo ya msimu Mara nyingi kipindi cha kuhudumia korosho huwakuta hawana kitu na hivyo...
  7. S

    Halmashauri Iringa yaanza kukwamisha Mradi wa Stiglers Gorge

    Lakini pia ukumbuke taasisi nyingi zinazotekeleza miradi ya Serikali hujiona sio jukumu lao kulipa Halmashauri ada na tozo mbalimbali kwa kisingizio kutekeleza miradi ya serikali. Huku pia ni kuzihujumu Halmashauri kwani ni jukumu lao kukusanya mapato ili kujihudumia. Pia unakuta vifaa ambavyo...
  8. S

    Inachukiza Kanisa Katoliki kuchelewesha utakatifu wa Kipenzi cha Afrika Hayati Nyerere

    Mh! Suala hili halimaanishi nyerere kuwa Mbinguni mkuu. Ni zaidi ya hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Tetesi: Bernard Membe na mtandao wao hawakufurahia uamuzi wa Rais Magufuli kununua korosho kwa wakulima tena kwa bei kubwa kuliko iliyopendekezwa

    Hii aijibu. Watu wanakaa nakuandika mambo wasiyoyajua. Kwa ufupi mwaka huu kwa Wakulima wa korosho ni janga.
  10. S

    St Peters Oysterbay rekebisheni Hili

    Ni sehemu ya Ibada ni kama kusema maji ya ubatizo yana umuhimu gani?
  11. S

    Mwaka jana bei ya korosho kwa kilo ilikuwa sh 4,000 mwaka huu ni sh 2,700

    Kwa hiyo imeshuka tena? Je wakulima wameuza?
  12. S

    Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

    Naconnect dot na mjadala was Bi Maria Sarungi twitwer Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    Mkurugenzi wa fedha na mpango hospitali ya Rufaa Bugando, mtawa Suzan Bathlomeo ajirusha Ghorofani na kufariki

    Inasemekana pesa zilipotea kwenye idara yake sio kuwa ameiba. Naamini hahusiki ila kama ni kweli alijirusha amekosa moyo wa kuhimili mikiki ya misukosuko. Huku waliokwapua akiwaangalia Sent using Jamii Forums mobile app
  14. S

    Mkurugenzi wa fedha na mpango hospitali ya Rufaa Bugando, mtawa Suzan Bathlomeo ajirusha Ghorofani na kufariki

    Lakini Mkuu kuitwa na kuwa nje kwa dhamana haimaanishi unahusika. Cha muhimu ni uchunguzi Sent using Jamii Forums mobile app
  15. S

    Waziri Mwakyembe: Azam, Zuku na DSTV walirusha maudhui ya ndani kinyume na leseni zao! Lazima warejeshe fedha zote walizowatoza Wananchi

    Naona rangi sielewi. Anasema wananchi waliolopishwa warejeshewe mbona hata sasa ikiwa chanel za nyumbani hazipo tunalipia kiasi hichohicho? Ni zaidi ya siasa. Je ni kiasi gani tunapaswakurejeshewa? Kwa nini basi mara baada ya chanel za local kuondolewa gharama zisipungue? Sent using Jamii...
  16. S

    Mkurugenzi wa fedha na mpango hospitali ya Rufaa Bugando, mtawa Suzan Bathlomeo ajirusha Ghorofani na kufariki

    *Bado haijawa proved kwamba alijirusha mwenyewe, tunaendelea na upelelezi wakati tulipoenda kukagua eneo la tukio tulikuta pochi yake ikiwa na simu ambapo hatukuzikuta line zote mbili kwenye simu hiyo lakini pia simu moja na line yake havionekani kabisa, pili inasemekana aliwasiliana na...
  17. S

    Ya MV Dar es Salaam kujirudia kwa Dreamliner?

    Kwani dreamliner si tayari imetengemaa? au..
Back
Top Bottom