anayemchukia dr. ni mwendawazimu na atagundua ujinga wake pindi atakapo ugua.naamini hata wewe siku sio nyingi utajutia maneno yako.mungu akusamehe bure maana hujui utendalo.
acheni mawazo finyu.najua wengi mlitaka alipotaka tu hospitali aanze kubwabwaja maneno kuhusu yaliyomsibu na wahusika.kimsingi hii isingesaidia chochote zaidi ya kuuza magazeti na kuipa serikali mwanya wakufukia ushahidi.kwakulitambua hili dr.aliona ni vyema kukaa na wanasheria na kuandaa...
acha mawazo finyu kaka,ishu kama hii lazima ujipange kisheria na sio kukurupuka ili kuwaridhisha wauza gazeti.its a war against state so umakini unahitajika.
these guys are totaly out of their minds.ukristo unawazuia nini? au tunawapa hasara gani???????????? kama umaskini wanautaka wenyewe kwa kuoa wanawake saba na kuzaa watoto bila kujua wataishi vipi.kuchoma makanisa kutawasaidia kutatua matatizo yao au ni wendawazimu tuu???????????????
naamini katika kila familia yale apendayo baba ndio hufanywa na wanafamilia.vivyo hivyo kwa serikali inayoongozwa na dhaifu the traveller sishangai kuona viongozi wengine wa ngazi za juu wakihudhuria hata birthday za mahouse girl wa viongoz wa ulaya.
huu ni upuuzi sawa na kulinganisha mbingu na ardhi.kikwete mlinganishe na wasanii wenzie kama rick rose,watu wa mipasho,diamond na masharobaro wengine.mzee slaa alinganishwe na wachapa kazi kama zitto,mzee wa miundo mbinu,tindu lisu,lema jj mnyika na mbowe.hapo italeta maana.
kwanza unawajua...
yale,yale tuliyozoea.mnaua nyie,mnachunguza nyie kwa tume yenu na mnatoa hukumu nyia na zaidi ya hayo nyie ndio watekelezaji wa hukumu.kichekesho kweli kweli.:A S embarassed:
unazo nguvu za kutukana uwezavyo kwa kua huumwi kwa sasa.am sure siku yakikukuta utajutia maneno yako.
walioomba msamaha ni wajinga fulani walionunuliwa na serikali ili kuwafanya wananchi waone madactari ndio wenye makosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.