Poleni na majukumu ya kazi wana JF. Mie nina swali nataka mnisaidie kujibu, wale ndugu zetu watangazaji wa kipindi cha power breakfast cha clouds fm, masoud kipanya na fina mango wapo wapi siku hizi maana hatuwasikii ati? Naomba kujua walipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.