Naitwa Mohammed bin issa. Limo.(ubini)
Mshangao wa jina la ukoo huu sio wewe to unae shanga kila Alie kua na elimu ya tafasiri ya majina na asili yake aliniuliza maswali .
Imekuaje wewe unaitwa limo wakati jina lako na baba yako wote inaonekana ni waislamu ..??
Au baba yako alibadilisha...
Sote tunajua jinsi ambavyo imekuwa vigumu kwa watu wetu nchini Tanzania kupata maji safi ya kunywa na shughuli nyingine za nyumbani.
Kumekuwa na ahadi nyingi kutoka kwa wanasiasa, na mengi yamefanyika kupunguza tatizo la maji nchini Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, hakuna mengi ambayo...
JINSI YA KUUKARIBISHA UMASKINI
1. ENDEKEZA USINGIZI
Kamwe usiamke mapema, endelea kulala na kujinyosha mpaka pale njaa itakapokuuma.
2. USIPANGILIE MATUMIZI
Kamwe usipange jinsi ya kutumia pesa zako, wewe zitumie tu pale unapozipata. Na zikiisha kaa chini na jifikirie umezitumiaje.
3. USIWEKE...
1. MAFANIKIO
Hapa mtu anaeza sema amelogwa au ameibiwa nyota.
Kama ni kazi anapata lakini haidumu na kama itadumu basi atachukiwa kazini na viongozi basi atapendwa na wafanyakazi wenzake.
Watampenda kwa sababu ataonekana mjuaji na kweli watu wasio na imani mungu huwapa kipawa cha kua na akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.