Search results

  1. West standard

    Kitu ndani yangu kinanikula

    Poleni na majukumu ya kila siku wakuu. Bila kupeteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna kitu kiko ndani yangu kati ya mgongoni na katikati ya kifua, kinanikula kila kila wakati nnapojaribu kutulia mahali. Yaan kama kitu kinakwangua lakini hakiishi. Embu nisaidie mawazo yenu wataalam.
  2. West standard

    Jinsi ya kumpenda jirani kisirani

    Kichwa cha habari chahusika. Je unawezaje kumpenda jirani mwenye kisirani? Karibuni.
  3. West standard

    Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

    Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii. Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli? Nimfanye nini huyu mwanamke?
  4. West standard

    Je, unaweza kueleza Mbinguni ni wapi?

    Hujambo na karibu katika mjadala huru.. Kichwa cha habari cha husika, Je unaweza kueleza Mbinguni ni mahali gani? Karibu.
  5. West standard

    Jinsi kanuni za utafutaji zinapowaporomosha machinga nchi nzima

    Machinga wanaondolewa barabarani wanalalamika tu, Kitu ambacho hawakijui ni kwamba kinachowaondoa ni kanuni za maisha. Kanuni za maisha ni ngazi ambayo kuipanda ni lazima uanze kukanyaga ngazi ya kwanza, sasa machinga wa Magufuli wanataka kukanyaga ngazi ya kumi na mbili kutoka ngazi ya kwanza...
  6. West standard

    Jirani yangu ananigongea mlango usiku

    Habari wanajamii. Usiku wa kuamkia leo, mida ya saa saba nilikua nimelala zangu, mara ghafla kelele za mlango zikanishtua kutoka usingizni, mlango unagongwa nikashindwa nifanye nini maana siyo kawaida..kama mara tano sita... akaacha kugonga na mimi nina kawaida yangu kama mtu anagonga mlango...
  7. West standard

    Tunda alilokula Adam ni tunda gani?

    Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile. Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua? Ufafanuzi wa kina.
  8. West standard

    Nini husababisha baadhi ya watu kukosa utulivu wa nafsi na akili?

    Nini kinasababisha baadhi ya watu kukosa utulivu wa ndani? Utulivu wa nafsi, utulivu wa Akili? Nini chanzo chake? Karibu.
Back
Top Bottom