Search results

  1. Loyalist

    Leseni ya udereva ya Saidi Athumani Mchevu imeokotwa

    Habari wanajamvi, Kama headline inavyojieleza: Leseni ya udereva ya SAIDI ATHUMANI MCHEVU Yenye namba 4000421056 Yenye madaraja A, A2 , B, D, E Imeokotwa maeneo ya Zakhiem, karibu na kampuni ya SINO HYDRO inayojenga barabara ya mabasi ya mwendokasi BRT PHASE II. Kwa yeyote anayemfahamu...
  2. Loyalist

    Kwanini Dini za asili hazipewi nafasi?

    Habari zenu wakuu? Kuna jambo limekuwa linanitatiza kwa muda mrefu sana, hasa inapokuja kwenye suala la mikutano au hafla za kiserikali, taasisi au hata siasa! Nchi yetu inafahamika kwa kufuata Sera ya secularism, yaani nchi isiyofuata dini rasmi, nchi ambayo kila mwananchi ana imani yake...
  3. Loyalist

    Hodi Hodi wana Jf

    Habari zenu wana Jamii forum, kwaheshima na tahadhima, naomba kujitambulisha kwenu kwakifupi tu, Mimi ni member Mpya ambaye hata hivyo nilikuwa naperuzi Jf pasipo kujisajili rasmi, Natumai nitapata ushirikiano Mzuri kutika kwenu, shukrani wakuu!
Back
Top Bottom