Search results

  1. UrbanSaint

    Hivi SGR imeshaanza kufanya kazi? Kama bado inategemewa lini?

    Naomba kuuliza wakuu, hivi SGR imeshaanza kufanya kazi kama bado inategemewa lini?
  2. UrbanSaint

    Hii ndio dawa ya wanawake wajanja wanjanja

    Kuna hawa madem kama watatu hivi,tunalink fresh kabisa na wakikwama mambo madogo madogo nawasupport ila linapokuja suala la kuniletea mbususu geto wanakua wajanja kweli! Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention...
  3. UrbanSaint

    Unadhani ni kwanini?

    MUNGU anapomweka mtu katika wakati mgumu, tunaita majaribu na MUNGU halaumiwi bali anatukuzwa, lakini mtu anapomweka mwingine katika wakati mgumu, inaitwa usaliti na mwanadamu analaumiwa na kuchukiwa milele.
  4. UrbanSaint

    Mwanaume zingatia haya kama atakucheat

    Mume akichepuka, mke samehe mgange yajayo. But mume never usije kufanya kosa la kusamehe mkeo akichepuka. Mwanaume anachepuka kwa sababu tofauti kabisa na zinazomfanya mwanamke achepuke Mwanaume anachepuka sababu ya Tamaa wakati mwanamke anachepuka sabau ya ku-replace/upgrade. Mwanaume...
  5. UrbanSaint

    Jifunze kitu hapa...

    Kitu nilichojifunza kwenye maisha yangu kikubwa. "Kuna watu watakudharau hauna kitu cha kuwapa kipya maishani mwao kwasababu wanajiona wamekuzidi elimu/pesa. Usiumie moyo endelea kujifunza utapiga hatua siku hadi siku, endelea kufanya kazi, UZOEFU, UTAKUJENGA utapata watu watakao kuskiliza...
Back
Top Bottom