Search results

  1. hiv positive living

    Natafuta rafiki/mpenzi/mume ambaye ni Hiv +

    Hellow wapendwa , Poleni na majukumu , Nahitaji mwanaume aliyeserious ambaye mahusiano yetu yatapelekea ndoa , awe mkristo wa dhehebu lolote , umri 36-50 (naomba umri uzingatiwe ),awe mrefu mana mie mrefu na mnene kiasi Mimi nina 33yrs, mkristo, sina mtoto, elimu form four ninaishi dar Ps...
  2. hiv positive living

    Natafuta Mume kwa anayeishi na VVU itapendeza zaidi

    Hellow wapendwa , Poleni na majukumu , Nahitaji mwanaume aliyeserious ambaye mahusiano yetu yatapelekea ndoa , awe mkristo wa dhehebu lolote , umri 36-45 ,awe mrefu mana mie mrefu na mnene kiasi Mimi nina 32 yrs, mkristo, sina mtoto, elimu form four ninaishi dar Ps. Mwenye VVU tu Karibu PM...
  3. hiv positive living

    Corona na waathirika wa HIV

    Hellow Nimeona huko watu wanafarijiana ohh kama wewe ni HIV + na unatumia ARV basi hupati corona Yani tufatishe vile tunaelekezwa na wizara ya afya Kuna wenye HIV na wanameza ARV na bado kinga zipo chini mnoo Na kuna ambao ni HIV+ na hawatumii ARV na bado kinga zipo juu sasa sioni sababu ya...
  4. hiv positive living

    Jiko lako huenda likawa ni tiba na kinga yako ama angamizo la afya yako

    Hellow wapendwa poleni na majukumu ya siku nzima ya leo,,, Nitashare nanyi baadhi ya aina ya vyakula/ tiba lishe ambavyo(yo) mimi huvitumia ,/nisivyovitumia; 1.sili ugali /wali/(vyakula vya wanga vyote) Ila nacheat kidogo kwenye ndizi[emoji7] 2.sili mkate/andazi/vitumbua(vyakula vyote vya...
  5. hiv positive living

    Ukipima HIV kipimo kikionyesha hivi, rudia kupima

    Ukipima HIV kipimo kikionyesha hivi, rudia kupima Upate jibu sahihi negative- ama positive+ Sent using Jamii Forums mobile app
  6. hiv positive living

    Ukigundua mpenzi/mke/mume uliyenaye ni HIV positive utafanyaje?

    Ni jioni tulivuuuu kabisa , baada ya mihangaiko ya hapa na pale ni muda sahihi wa kumshukuru Mungu kwa kuiona jioni hii salama kabisa Njoo tuzungumze, ukagundua mkeo/mumeo/mpenzi wako anaiUpungufu Wa Kinga na wewe huna ,Je utafanya maamuzi yapi? Kuendelea nae? Kumwacha? Kusitisha tendo la ndoa...
  7. hiv positive living

    Ni kwanini waathirika wa UKIMWI tunanyanyapaliwa?

    Naimani mko poa kabisa Kiufupi tu; - Jinsia KE - Umri 32 - Sijazaliwa nao - Sijawahi kutumia ARV Niende moja kwa moja kwenye swali langu, hivi ni kwa nini kwenye jamii yetu ukishawaambia "NINA UPUNGUFU WA KINGA MWILINI " asilimia kubwa wanapatwa na taharuki, hofu, kunyanyapaliwa, kuzodolewa...
  8. hiv positive living

    Kuhusu wanaoombewa na kupona HIV makanisani

    Hellow, Nimeishi na VVU huu ni mwaka wa 12 sasa sijawahi kutumia ARV's. Naona kuna wanaoombewa kanisani kisha wanaotoa ushuhuda kwamba wamepona VVU. Je, nanyi pia mmeshawahi kusikia? Kuhakiki? Mfano: unandugu ambaye kweli alikuwa hivyo akapona? Ama namna yoyote ile ya kuprove kweli uponyaji...
  9. hiv positive living

    Hellow ,

    Hellow guys, baada ya kuwa msomaji nisiye rasmi sasa nimeamua kujiunga nami Jf ,mnipokee ,na mniongoze vyema nawapenda .. Jinsia yangu ni KE" Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom