Search results

  1. BLACK_WIDOW

    HUJUMA KWA WANAUME KUPITIA TALAKA

    Wanaumeee, léo ngoja tuzungumze hapa kuhusu mjadala huu unaotrend sku mbili hz hapa JF, lakin ni mjadala mkubwa si tu hapa JF bali ni dúnian kwa ujumla Suala la talaka limejadiliwa mnoo, kila mtu àkijaribu kuélezea kwa anavyofaham na hekima zak. huku dunia ya tatu, tunapitia kipindi hiki...
  2. BLACK_WIDOW

    Watu wa Bara acheni ushamba na ujuaji mkija Mjini

    Tamaduni ni kitu nyeti sana, ilimràdi tamaduni husika haina madhàra kwa binadamu, siungi mkono tamadun kama ukeketaji kwa sababu madhara yake yapo wazi Watu wa pwani wana tamaduni zao kama jamii zingine, mfano kwenye urembo, wanawake wa pwani wanatogà masikio hadi pua tangu enzi hizo, nà kutogà...
  3. BLACK_WIDOW

    Naomba Ufafanuzi kuhusu Kuagiza Bidhaa Mtandaoni

    Asalaam Aleykum wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale, shida yangu ni kuhusu hizi online market Alibaba na Amazon, Naomba kwa wanaofahamu wanipe ABCD's kuhusu uaminifu wao, na kama kuna scammers nawatokaje. Nina hitaji kununua gemstone, niliingia Alibaba nimeona kuna masonara wa Pakistan...
  4. BLACK_WIDOW

    Kwa hili Serikali ya awamu ya tano haipunguzi ila inaongeza tatizo

    Ni wazi kuwa serikali hii tangu iingie madarakani imekuwa ikipinga ukosoaji katika utendaji wake wa kazi, Japokuwa ni jambo la ajabu, sasa usipotaka kukosolewa na wale unaowaongoza endapo wataona baadhi ya mambo hayaendi sawa unataka akukosoe nani? Nikienda moja kwa moja kwenye hoja, Mjadala...
  5. BLACK_WIDOW

    Naomba kufahamishwa utaratibu wa kwenda New zealand

    Wakubwa shikamooni, Mdogo wenu hapa JF ninaomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya Taifa la New zealand, utaratibu wao wa viza, kama kuna changamoto za uingiaji na kama kuna mianya ya kuitumia ili kuingia (labda documents gani zenye ushawishi pindi uombapo viza), flight cost. Kiukweli nchi zile...
  6. BLACK_WIDOW

    Wasomi vs wataalamu

    Ni wazi watu waliosoma Sayansi wamekuwa na dharau kupindukia kwa watu waliosoma masomo ya sanaa, mara nyingi hujiona wao ndo babkubwa na ndo wasomi sana Ila ukiangalia nature ya hizo kada mbili, utagundua watu waliosoma ARTS ndio hodari sana na kutegemewa katika kutatua mambo mbalimbali...
  7. BLACK_WIDOW

    Huyo Hitler nae alikuwa myahudi, na kile kilichoitwa Jews persecution ni propaganda tu,

    Huyo Hitler nae alikuwa myahudi, na kile kilichoitwa Jews persecution ni propaganda tu, jamaa alitumwa kufanya kazi maalum ili kustawisha uyahudi ulaya. Kwenye Vita ya pili ya dunia wazungu (non Jewish ) wengi walikufa, ili wayahudi wainuke watawale ulaya vizuri. Walichofanya wayahudi ni...
  8. BLACK_WIDOW

    Huwajui waluguru ndio maana

    Mtu kakurupuka kaleta uzi humu, japo ni wa muda kidogo, anaponda kabila hili adhimu kabisa hapa Tz, et ooh wabish, mara wafupi. Unawajua kwanza waluguru kama hili ndo kabila pekee Tz lililotoa wagombea wawili wa vyama viwili tofauti wakashindana na Nyerere kugombea urais, kipindi wakoloni...
  9. BLACK_WIDOW

    Wayahudi na rimoti yao mkononi

    Hawa jamaa hapa duniani ni kama vile Dj, ndo wanaamua watu wacheze mziki gani. Ni ukweli usiopingika jamaa hawa wako vizuri sana kwenye PROPAGANDA. Wanaamua tu watu wengine wawe na mtazamo gani juu ya jambo fulani. Na kwakuwa wameshashika Nyenzo zote, kuanzia Uchumi, mpaka siasa ya dunia hivyo...
  10. BLACK_WIDOW

    Wanaume wa Dar ni Imara katika ku-handle ishu za Mahusiano ukilinganisha na wanaume wa mikoani

    Ni mara nyingi tu tumesikia juu ya Taarifa za matukio ya wanaume kuwaua wenzi wao na kutokomea kusikojulikana ingawaje wengi wao hukamatwa baadae na vyombo vya dora, Pia baadhi ya wanaume baada ya kufanya matukio hayo ya kinyama huamua kujiua ili kukwepa mkono wa dora, Sababu kubwa ya kufanywa...
  11. BLACK_WIDOW

    Waarabu wa sasa na Uarabu feki

    Ni kama vile vijana wengi wakiafrika walivyokuwa waki-copy lifestyle za waamerica weusi sanasana miaka ya 90 mpaka 2000, tulishuhudia mpaka wakibadili namna ya uvaaji iendane na ile ya wamarekani weusi, na ndivyo hawa wanaojiita waarabu na kutuaminisha kuwa wao ni waarabu walivyojibadilisha na...
  12. BLACK_WIDOW

    Nateseka na Hepatitis kwa miaka 4 sasa

    Ni mwaka wa 4, tangu nigundulike kuwa na ugonjwa huu unaoathiri ini, lakn kwa kipnd chote hko sijapata tiba ya uhakika, hicho ndo kinanipa hofu, kwani tatizo linazidi kuwa kubwa, nimeamua kutumia jamvi hili kuomba wana jf kama kuna ajuaye wapi na nani anayeweza kutibu tatizo hili, ili niweze...
Back
Top Bottom