Search results

  1. Mpembakizinga

    Naomba msaada kwa wenyeji wa Iringa

    Niko Iringa mjini, mwenyeji anisaidiae kijiji kikubwa kilichochangamka na network ya Tigo iwe inapatikana. Naomba kujuzwa nauli ya Daladala na kiwe njia ya kwenda Dodoma ila ndani ya mkoa wa Iringa
  2. Mpembakizinga

    Nimefiwa na baba yangu mzazi. Pumzika kwa amani baba yangu

    Rip baba yangu mzazi(George Hauba Hagu) aliyefariki Leo hospital ya teule muheza Tanga ila mazishi yatakuwa lusanga(bonde) huko Tanga
  3. Mpembakizinga

    Wanawake fitina

    Ni historia ya kweli niliwahi kuishi na kaka karibia miaka mitano tukaja kutofautiana baada ya kaka kuoa. Kaka ni mwenyeji wa Tanga na shughuli yake ya mwanzo uvuvi aliendelea nayo hata alipo sa sa Unguja kiembe samaki the baadaye akafungua duka akaachana na uvuvi alipo fungua duka LA pill akaja...
Back
Top Bottom