Habari wadau wa JF.
Kutokana na kaulimbiu ya nchi yetu ya Tanzania ya Viwanda leo nataka kuwapa funzo/mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za kipande au kufulia.
Jiulize wewe uliyekuwa Katavi, Simiyu, Songea, Songwe, Shinyanga nk mikoa mbalimbali uliwahi fikiria fursa hii kwanini unasubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.