Habari zenu wakuu,
Nielekee kwenye mada, nimekuwa nikimtongoza mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini amekuwa hanijibu, mara nyingi huwa tunapiga stori za kawaida lakini nikifika sehemu nikiingiza mada ya mapenzi hukaa kimya pia hunipotezea kwa muda wa siku tatu hadi wiki kama sijamuanza...
Kati ya miaka ya 1993 hadi 1994,95,96, kuna jamaa alitamba sana kuwalaghai mabinti na kuhakikisha anakufa na wengi,
.
.
.
Special coach alitumia pesa nyingi kuwaambukiza wadada ukimwi.
NB. kwa kipindi hki cha magufuli ukiona mwanaume anatumia pesa nyingi kwaajili ya kupata papuchi ucjione una...
Hii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nimehamia makazi mapya halufu ya chakula kizuri hunukia kutoka kwangu, na Kila ninaporudi kutoka kazini ckosi vpaseli.
Hadi kufikia leo hii nishaombwa namba yangu na weke za watu kama 6, nasubiliwa mm tu niliamshe shetani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.