Search results

  1. gmstarpro

    Bei za engine za pikipiki

    Wadau naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu bei za engine za pikipiki anijuze . Engine iwe ya LIFAN, TOYO AU KINGLION AU SINORAY ziwe za 150cc
  2. gmstarpro

    Naomba ufafanuzi kuhusu Printer aina ya Epson M2140

    Kwa anae jua kuhusu hizi printer za Epson M2140 Naombeni msaada juu ya utendaji kazi wake. Bei nimeona ni reasonable ila speed yake na ubora wake ndio cjui na pia mwenye anajua printer ya chin ya 750k yenye uwezo wa kutoa copy nyingi.
  3. gmstarpro

    Kumbe ni kweli hii kampuni inachofanya

    Ni kweli kwamba ile kampuni ya magari na zawadi nyinine ndogo ndogo ya japani inayoitwa CAR FROM JAPAN inatoa zawadi kwa watu ambao watashiriki katika shindano linaloendeshwa na kampuni hiyo lengo la kampuni hii ni kupanua soko lake na hii ndio strategy walioitumia ya kuwazawadia washindi magari...
  4. gmstarpro

    Huu ndo utabiri wa Ligi Kuu England 2015/16

    kwa mambo mengine ya kimicheza gonga au click hapa TANDIKA MIKEKA . huku utaona vitu kama ubashiri wa mechi kwa kila siku, ratiba za mechi pamoja na tetesi za usajili
Back
Top Bottom