BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel
kwenye
mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye
mkutano
for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa
kando):Mambo
safi, wife anaenda kikazi Serena,
jitayarishe tujipe raha for 1 week...
haya maisha ya wananchi na ya watu wa serikalini mbona hayana uwianoooooo, wabunge wa ccm kusinzia tuuu na bado wanataka kiti cha Arumeru, jamani watanzania tuwe macho ccm inatupeleka wapiii,mbona ahadi zao ni tamu lakini matimizo machungu?madakatri wanagoma then wao wanatibiwa nje hivi ccm nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.