Kwa namna yoyote ile udalali hauwezi kuisha kwa sababu chache na laini kabisa.
1. Sio wenye mali wote wanajua masoko husika na watu husika wanaoweza kuwa wateja wao.
2. Shida za dunia husababisha watu kutafuta mnunuzi wa mali zao kwa haraka ( saa zingine madlali hununua, iwe mazao, magari...
Mimi nimekuta deni la elfu 50 tokea May 2023, halafu gari imemulikwa Uhuru St na Lumumba ambapo kwa mwezi huo hadi leo sijawahi kupaki maeneo hayo.
Kuna siku nlimkuta dada mmoja anagombezwa maeneo ya kirumba kwa upole nkamfata nikamwambia usiwasikilize hao wewe umetumwa kwanini hawajae da kwa...
Ikumbukwe. Sio mara zote ukisomeshwa ni kwa ajili ya kuajiriwa hadi ufe. Saa zingine wazazi tunaogopa watoto wasiwe wajinga na wakose maarifa. Elimu inaondoa ujinga na kuepusha mengi sana kwa mtoto wa kike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.