Recent content by Wed

  1. Wed

    Dkt. Mwele: Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki!

    Ni Tanzania tu yaweza tokea tuliyosikia. Sijui ni kwa vile ni taifa la Wada-nganyika ?
  2. Wed

    Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ataka matokeo ya Urais yahojiwe Mahakamani

    Hongera Sugu. Wote tudani na kudai na kudai bila kuchoka:. Katiba Mpya, Tume huru ya uchaguzi na kuhoji matokeo ya Uraisi mahakamani..... Wakati wa uchaguzi kura zote zikiwemo za raisi zihesabiwe na kubandikwa vituoni
  3. Wed

    Patrick Ole Sosopi akihutubia Kamati ya Utendaji ya Bavicha Taifa

    Yuko vizuri sana. Anaonekana kabisa kuwa anacho kizungumza anakiamini na kinatoka moyoni. Hongera zake
  4. Wed

    Natafuta fundi wa kushona Nguo-Kaunda Suti

    Kuna fundi yuko vizuri mno maeneo ya Bunju A Wasiliana na huyu bwana 0753271739
  5. Wed

    Sakata la Musiba: Makamba, Kinana waibuka. Waandika waraka mzito Baraza la Wazee Wastaafu CCM

    Namwombea sana Tundu Antipas Lissu maisha marefu kwani udhubutu wake, uangavu wa akili yake kwenye mambo ya msingi yanoyolihusu taifa letu na upendo wake kwa Taifa uweze siku moja kuji-mwilisha kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa nchi yetu.
  6. Wed

    Mambo yanazidi kuwa mazuri awamu ya tano

    Yako mambo mawili : au umetumwa na watu fulani kuandika haya au hujui kanuni za uchumi
  7. Wed

    Marekani wadai Uchaguzi Mdogo wa Agosti 12, 2018, uligubikwa na matukio ya fujo na ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi

    Mbuzi mwingine asiye elewa sytem ya uchanguzi ya Marekani ilivyo
  8. Wed

    Barua inayodaiwa kuandikwa na TRA kwenda kwa Waziri wa Fedha kuvuja mitandaoni ni jambo linalohitaji tafakuri

    Nyie watu nilishawaambia. 1. Tatizo kubwa la Tanzania ni mfumo. Hata aje malaika, hama mfumo tulionao hautabadilishwa nchi itaendelea kuporwa tu. 2. Zaidi ya 99.99% ya ma-CCM ni wapiga dili. Kama mnakataa niambieni zile Trilioni zetu 1.5 ziko wapi ? So .. kisa cha makontena na anayofanya...
  9. Wed

    Askofu Stephen Munga: KKKT kamwe haitamuacha mkuu wa Kanisa adhalilishwe

    Baba Askofu tamko lako linaeleweka. Hata wale wanaoongozwa na nguvu za giza kwa kuminya uhuru wa habari, kupoteza watu kwa kuwaua, na kutishia watu wanajua fika kwamba unayoyasema ni sahihi na ni sauti ya Mungu. Sisi sote ni watanzania. Wote tunaipenda nchi yetu. Tuna uchungu na nchi yetu...
  10. Wed

    Ila ni vyema Kaisari akaachiwa mambo yake kuliko kuyabeba ya Kaisari na kuyachanganya na ya Yesu

    Tulia, Soma nilichoandika; mbona kinaeleweka vizuri tu
  11. Wed

    Ila ni vyema Kaisari akaachiwa mambo yake kuliko kuyabeba ya Kaisari na kuyachanganya na ya Yesu

    Ni bora unyamaze kuliko kuandika vitu usivyovijua na tena kuviweka kishabiki kutetea utawala wa kaisari asiyeongoza kwa upendo bali kwa visasi, chuki, vinyongo na matishio. Hakuna njia lazima Atubu ili taifa lisije angamia kwa kutekana, kuuwana na kutupana baharini.
  12. Wed

    Mtwara: Mwalimu afariki ghafla baada ya kupewa barua ya kuhamishiwa shule ya msingi

    Utawala huu umekuwa sababu ya kuanguka na hata kupoteza maisha kwa wengi
  13. Wed

    Serikali yawajibu Umoja wa Ulaya(EU) na Marekani kuhusu kutokuwepo usalama na haki za binadamu Tanzania

    Sujui tumelaaniwa. Watu wanauwawa mchana kweupe, wengine wanatoweka kama akina beni Saanane na Mwandishi wa gazeti la Mwananchi, wengine tena wengi wanauwawa na kuwekwa kwenye viroba, bado watu wanajitetea kuwa kila kitu ni shwari.. Matukio ya Kupotea kwa watu na kuuwawa yananikumbusha...
  14. Wed

    "Fedha au risasi" You join me or you die!

    Yanayotokea Tanzania, yakitokea kwa wenzetu nchi inasimama. Nisiitaje kwani mifano ni mingi Duniani. Watanzania amkeni. Kama leo ni mimi kesho ni wewe. Kama siyo wewe ni baba yako, dada yako, kaka yako au Mtoto wako. au jirani yako. Inabidi sasa tuseme : ENOUGH IS ENOUGH..,.. Imetousha !
Back
Top Bottom