Dar es Salaam,
Katika kile kinachoashiria kuanza 'rasmi' kwa harakati za kuwania uongozi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015, leo chama cha NCCR-Mageuzi kimekuwa cha kwanza kumkabidhi kada wake Dk. George Kahangwa fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akizungumza mbale ya...
Waheshimiwa wabunge wa Bunge la JMT na hata wawakilishi wa katika baraza huko Zanzibar. Salamu.
Napenda kwanza kuwakumbusha kwamba sisi wapigakura wenu tulipowachagua hatukuwapa ufalme bali tuliwadhamini tu. Cheo ni dhamana ati.
Tuliwapa muda wa miaka mitano kututumikia. Kama mlifanya vema...
Wakuu,
Habari za uhakika ni kuwa leo katika mkutano wa waandishi wa habari, NCCR kimekuwa chama cha tatu kumtaja mgombea wake mtarajiwa.
Yaelekea ukawa utapambanisha wasomi.
CUF wanakuja na Profesa
NCCR wanakuja na Dokta
NLD nao wamemtaja Dokta
CHADEMA bado kimya, lakini yaelekea watamtaja...
Kuna uwezekano wa UKAWA kupata majimbo mangapi kati ya 240? Ili inoge inabidi majimbo yasipungue 50% + 1 yaani 121 na kuendelea. Ni vema UKAWA ukaweka malengo yasiyopungua hapo. Yakifanikiwa haya, tutakuwa na bunge tamu sana!
Angezungumzia pia mipango iliyopo ya kuvifanya KIA, JNIA na Arusha kuwa vya kisasa zaidi, ili watalii wanaokuja Tanzania wasilazimike kupita Jomo Kenyatta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.