Nasikia eti hata Akwilina aliuawa na waliokuwa wanaandamana (CHADEMA). Upuuzi huu wa kugeuziana kibao unaanza kuota mizizi. Makonda ujue hutakuwa mkuu wa mkoa miaka yote....
CCM wanaongozwa na siasa za mlipuko. Dr. Lwaitama kawaambia kwamba tuliacha kutawaliwa tangu 1961, hivyo baada ya hapo ilibidi tuwe na kiongozi. Think hard, kama Polepole naye anatoa maelekezo kwa watendaji wa serikali, where are we going?
Tanzania ya viwanda watatuzidi Rwanda kwa mbaali saaana...
Nape Nnauye, we'll always miss your political tactics, sio huyu kilaza. Ebu mpe tactics za kuvuta watu karibu na chama chenu. Your party is slipping away from people while you watch. Kumbuka ulikokitoa hiki chama.
Opposition is suppressed here and doomed to be wiped out of the party's register. Unless you're suggesting a warfare. That is the only way out - CCM walishasema hawawezi kuachia nchi kwa kipande cha karatasi.
Bila ya kuyaanika haya sisi tukayaona, wapinzani tufanyeje? Kila kukicha kupigwa, kufunguliwa kesi za kubambikizwa ili watu wawe waoga. Nina imani kwamba kwa ku expose uozo bila kuuficha wanachi watajua kwamba walivyoambiwa vichwa vya teni havina mwenyewe kulikuwa kunatafutwa kiki ya kisiasa...
Hiyo ndo serikali ya awamu ya tano bwana - spreading dictatorial wings. How I wish I could return into my young age so that I could squarely deal with these POLICCM.
Yeyote anayeshabikia CCM kwa sasa ana mtindikio wa ubongo kama yule nilyemsikia akimsifu rais kuwa kwa miaka miwili tayari tuna ndege mbili! Ziko wapi? Kama unaringia bombadier mbili na KQ watasemaje wenye Boeng 737 (12), Boeing 787 Dreamliner (9), na Embraer ERJ-190 (15), - najua wengi hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.