Mungu akutangulie mkuu umpasue mhindi ule mwaka vizuri, ila ushauri wangu hasa kwa hizo tiketi zilizobakiza mechi moja moja kukamilika jaribu kubeti matokeo tofauti uweke hata ka dau kadogo ambacho upo tayari kupoteza kama kakiliwa huku ukiwa na uhakika wa kula nyingi. mana ikitokea bahati mbaya...
samahani mkuu nimechelewa kuiona post yako. mi natumia cash card ya Tshs kudeposit kwa MPESA na haijawahi kunisumbua na deposit kama kawaida na kuwithdraw kutoka BET365 inakuja bila tatizo na ikifika tu kwenye akaunti napata sms ya confirmation. nilikuwa natumia cash card ya US$ nayo haikuwahi...
Mkuu Joaquem naomba nikushukuru kwa mikeka hii, japo miwili imegoma ila huu wa odds 472 umenipa hela nzuri. niliingia jukwaaani na kukuta mikeka yako hii na moyo ukanituma tu kuweka. ubarikiwe mkuu.
mkuu, hawa meridian ukiwithdraw hela unaipata hela yako ndani ya dakika tatu kama ni kwa kutumia Mpesa. ila Kwa kutumia tigo pesa sijawahi kujaribu. ikitokea ume withdraw afu ikakaa zaidi ya dakika tatu bila kufika just log out then log in itakubali kutoka muda huo huo, hiyo ndo experience...
Ulibet kwa kampuni gani mkuu, mana kampuni nyingi huwa wanasubiri kwa siku chache kujua imepangwa lini hiyo mechi ndipo aidha waipe odd ya 1 au wasubirie ichezwe.
Ila kama ni kampuni ambayo unaweza kufanya cash out ni bora ui cash out kama hawajaipa tarehe nyingine mpaka sasa.
mkuu salute sana kwako, sasa naamini huwa unafanya uchambuzi wa kina kabla ya kutupia mzigo. jana nilitamani sana nikufuate hasa hiyo ya 3+ ila moyo ukasita. daa nimepishana na hela hivi hivi.
mi huwa natumia banc abc nalipia cash card yao ambayo ni visa/mastercard na inakuwa tayari kufanya malipo/manunuzi online. ndio huwa naweka hela humo kwa mpesa na kuitumia kudeposit bet365. nikibahatisha nika win nawithdrawal kupitia akaunti hiyo ya abc na nikitaka kuitoa nata tu kwenye atm...
asante mkuu, ni option nzuri hasa kwa timu ambazo zinakuwa zimekamiana lakini hazina forward wazuri. kwa timu ambazo hazina cha kupoteza unaweza kuta kipindi kizima hakuna goal kick wala kona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.