amini nawambieni huku tunako erekea hawa mafisadi ccm we waache tu haijarishi jafo au kijana wetu mnyika sisi tunacho taka ni hera yetu tupate rai tulisha toa huku geita waandae bunduki na lisasi nyingi hatukubari hata kidogo we acha watuzungushe tu
kijana au mdogo wangu zitto ukweli ameosha siyo kwa kuosha kuwa aonekane kwa watu ira ukweli katika histol
ya tz huyu ameonekana kama nyerere vile , tunataka wazalendo wa namna hii rakini hii ni kwasababu ya chama
safi CHANDEMA HOOOYOOO
haki ya mungu haipotei arusha tutaweka hata jiwe tu tutashinda cha kusikitisha kodi za warara hoi hawa zinaliwa hebu tumogope sar good ira hata kama kunauchaguzi chochote kile kitakacho wekwa hata ng'ombe tunatoka
huo ndoo mshahara wa kuchagua ccm maana watu hawa wanajifanya hicho ndo chama kilicho wakuza elim ya uraiya 2014 ichukue hatam chandema huyeee hao wananunuliwaga KOMONI wanatoa kura wacha wakome ndoo watajuwa joto ya jiwe:wink2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.