Recent content by Ushuhuda wa Injili

  1. Ushuhuda wa Injili

    Neno la uzima: KUTOFAUTIANA KUKUSAIDIE KUJIJENGA KIHEKIMA

    Wakashuka watu waliotoka Uyahudi wakawafundisha wale ndugu ya kwamba, Msipotahiriwa kama desturi ya Musa hamwezi kuokoka. Basi baada ya Paulo na Barnaba kushindana na watu hawa na kuhojiana nao sana, ndugu wakaamuru kwamba Paulo na Barnaba na wengine miongoni mwao wapande kwenda Yerusalemu kwa...
  2. Ushuhuda wa Injili

    Lilipo Kanisa la Moravian maeneo ya Kigamboni

    mgoshawampasa Kanisa la Moravian liko karibu na furniture mbele ya Oilcom ferry njia ya kwenda Kongowe.
  3. Ushuhuda wa Injili

    Enyi waume wapendeni wake zenu

    Pdidy Ubarikiwe. Sina uhakika ndo maana nimetumia neno 'marafiki' zao wa kike
  4. Ushuhuda wa Injili

    Enyi waume wapendeni wake zenu

    Chapa Nalo Jr Si wote tumeitwa kufungua makanisa mwana wa Mungu.
  5. Ushuhuda wa Injili

    Enyi waume wapendeni wake zenu

    Amani iwe nawe mwana wa Mungu. Nichukue nafasi hii kukushukuru wewe ambaye umefanyika kuwa baraka kwetu katika kuineza injili pamoja nasi. Mungu aliye hai awabariki nyote ambao mnajitoa kwa ajili yetu kutufanya kuwa hewani. Mbarikiwe nyote mnaotuombea, mnaotutakia mema na mnaotubariki kwa...
  6. Ushuhuda wa Injili

    Neno la Uzima: KUMTOLEA MUNGU – WAKUMBUKE WAJANE

    Tumsifu Yesu Kristo mwana wa Mungu. Jana tuliangalia kwa kiwango fulani jinsi maandiko yanavyotuambia kuwakumbuka maskini katika zaka na dhabihu zetu. Tuliona pia kwamba Mungu anawapenda sana maskini na ili nasi tuonyeshe upendo wa Kristo uliomo ndani yetu basi ni vema tukajifunza kuwasaidia...
  7. Ushuhuda wa Injili

    Kumtolea mungu – wakumbuke maskini

    Bwana Yesu apewe sifa. Mwana wa Mungu tumeangalia kwa namna moja au nyingine namna ya kumtolea Mungu matoleo na Zaka mbali mbali. Kwa sasa nataka nikuonyeshe maeneo kadhaa ya kumtolea Mungu ili upokee baraka katika utendaji kazi zako. Ndugu yangu ni vizuri sana kukwambia jambo hili. Maskini...
  8. Ushuhuda wa Injili

    Dr. Slaa na mbinu ya Hitler

    Usije jitwalia laana kwa kuwawekea maneno viongozi wa madhehebu walotoa tamko kwa kusema wameandaliwa lile tamko. Nakusihi katika jina la Yesu acha kuwawekea maneno midomoni watumishi wa Mungu. Tuendeshe siasa zenye tija kwenye Taifa letu na si siasa za namna hii. Utabeba laana. Na Mungu akusamehe.
  9. Ushuhuda wa Injili

    Uhuru wa kuabudu umepokwa na serikali?

    Wiki iliyopita kabla ya jana, yaani tar 8-11 mwezi huu 5 waumini wa Kikristo walikuwa na mkutano wa Injili katika viwanja vya kanisa la Africa Inland Church Kigamboni, nyuma tu ya Kituo cha Polisi Kigamboni. Waumini hawa walikutanika katika mkutano ule baada ya kupewa kibali na Manispaa kwa...
  10. Ushuhuda wa Injili

    Heri ya mwaka mpya 2013

    Wana bodi, Napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mungu kwa ajili yako nami, kupewa neema ya uzima tuendelee kumtumikia katika mwaka huu mpya wa 2013 kwa kadri ya siku atakazotujalia tumtumikie katika mwaka huu. Pamoja na milima na mabonde tulopitia mwaka ulopita lakini tunapaswa kumshukuru...
Back
Top Bottom