Unauliza ngoma kwenye harusi ya kizaramu?
We kuna mikowa na makabila Tnz bara ukiwa na macho mekundu unauliw, m2 mwenye ulemav wa ngozi
dili, bint kukeketwa ni lazim, babu wa Loliondo anatib mpaka wawaziri
ambao ata TMJ hawatibiwi lakin loliondo wanatibiwa na kikombe cha babu.
Sheria inayotafautisha baina ya TENDO LA NDOA NA TENDO LA ZINAA.
Huwezi kuwa unazini halaf ukaja Jf ukataka ushaur eti ukifanya tendo la ndoa unaumia kumbe hujaowa/hujaolewa ispokuwa unazini tu, sasa sema unapofanya tendo la zinaa unaumia.
Ndugu zangu suala la ndoa ni jambo kubwa sana tafauti na tunavolifkiria, kwa iyo tunapotaka kulingia lazima tuwe sirius, huwezi kuwa wewe una mila zako, ukataka kumuowa ambae mila zako kwake ni matusi, kwa mfano utamkuta mchaga anataka akamuowe au aolewa na mpemba, sote tunajua kama mila za...
Nimeshasema
Wasira wanaume wakiongea anyamaze, hivi kweli huoni aibu kuzozana na
watu? Subiri Znz ipate mamlakA Kamili ww na seif ali idi 2waweke
BAITULAJAIB iwe kivutio cha watalii. au tuwapeleke shule za msing tutishie wanafunz watundu.
Tunataka sana mungano lakin tunataka mungano wa haki mkubwa kumuhishi
mdogo kwa udogo wake na mdogo kumuheshimu mkubwa kwa ukubwa wake,
likishafanyika hili ata mungano wa robo serekali cc tunautaka , c o
mungano hu wa kishenz shenz wizara ya micho c wizara ya mungan lakin ZFA
ipo chin ya...
Nimejarib sana kutaka nikujib kwa mpangilio lakin natumia cm ndogo tu hivo inakataa, hivo nataka uniwie radhi lakin km kuna sehem hujaelewa nambie. Samaha km nimekukwaza.
Umaskin wa wapemb umesababishwa na sirikali iliyopo madarakan wakiamini
kuwa pemba ni wapinzani, fuatilia karafuu zao zinafanywaje, tafautisha
baina ya kuza sana na kuzaa ovyo ukishatafautisha jiulize kwa nini
hakuna chokoraa wa kipemba popote pale duniani?, c kweli shen anakuja
sana tu...
Ili suali nilishalijib, lakin kwa vile umeliuliza kiustaarab acha nikujibu , kwa kweli wapemb wanachukiwa sana na sirikali yako ya ccm hivo ukitaka kumuuwa paka na usionekane mkrofi kwanza mpe paka yule jina baya. Ndivo wanavofanya wasiowapenda wapemba, hata km wako hao wanaofanya huwo upuzi...
Eti wanamfananisha mpemb na ku2 la ng'ombe kwa sababu ku2 la ng'ombe linakauka juu tu lakin ndan linakua bich, mpemb haoneshwi paja, angalia ukimuzia mpemba kiwanja nusu tu atataka umuzie chote na bd wataitana kijij kizima.
Miongoni mwa kejeli wanayofanyiwa wapemba ni km hili suali lako, Mi mdobwedo umeniona wapi, suali la pili ni la udaku na lakipuuzi, hata km yuko uyo anaefanya huwo upuzi bc hawez kuwaakilisha wapemb wote cous dini ye2 hairuhusu.
ASSALAMU ALAYQUM, YAAMANITTABAAL-ULLAA,
Kwa yeyote mwenye suwali kuhusu kisiwa chenye marash ya karafuu (PEMBA) na wapemba, naomba aniuleze, nitamjibu kadri ya uwezo wangu.
Najua kuna mengi yanasemwa kuhusu Wapemb na kisiwa chao ki2kufu mengine ni mazuri mengine mabaya kwa uhakika naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.