Tatizo our own people give excuses to defend mediocrity, kwamba ni sawa kuwa substandard or to receive poor quality service, na ukiwa wa tofauti upaze sauti ni fitna.... When this changes we will have full emancipation as citizens with dignity.
Soma vizuri nimeelezea. BTW hapa nilipo again the have outdone themselves delayed flight. Hata foreigners waliyokuwa silent are not happy. In a span of 4 trips I have taken in 1 month ALL THEIR FLIGHTS DELAYED.
Anayetoa vibali ili ndege ziwe registered na kuruka achunguze Precision Air.
Precision gharama zao ziko juu, wahudumu hawana msaada na ndege zao hata siku moja haziheshimu muda.
Wapewe ultimatum. Hawafai na hawana professionalism.
Wizara ya Elimu mko dunia gani?? Wanafunzi wanakaririshwa tu hawapati maarifa na life skills na mnajifanya eti ni Competence Based Curriculum. Tunamaliza mwezi wa kwanza vitabu vya kiada bado....halafu lazima Wizara mregulate hizi international schools. Tunatamani na sisi watoto wetu wasome...
Nalia na Wizara ya kazi. Aisee mmezidi na hivi vibali vya kazi kwa wageni. Hamna uchungu kusema watanzania wajiajiri huku vibali vinatolewa kiholela. Nafasi ambazo zilikuwa zimeshikwa na wazawa tangia 2021 zimerudi kuwa za wageni. Hizo succession plans huwa za kazi gani?
Sasa kuna kampuni ilikuwa ina wageni 3 maana walibanwa awamu iliyopita kulocalise positions kama 7 na ajabu wazawa walikuwepo na wakapewa hizo kazi. Ajabu katikati mwaka jana wamewarudisha wageni speed ya 5G na sasa wazawa wale wameondolewa kupisha wageni. Je, kwenye practice ya localisation...
Na sasa kuna expatriates wananyanyasa sana wazawa wakijua hawapelekwi kokote na TZ hawaondoki ni wazawa wanawajengea kesi na kuwaondoa. Sasa hata wizara ya kazi they don't care.
Hali kama hii zipo sana makampuni binafsi lakini wazawa hatuna ujasiri kwa sababu ya kulinda ajira zetu. Unaweza kuwa na uthubutu wa kupaza sauti mwishoni ukabaki mwenyewe..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.