Mbagala nako kuna binadamu jamani dah!kwahiyo ningeandika naishi mbezibeach ingekuondoa wasiwasi?hayo yaliyokukuta yaseme hapa ili mnunuzi awe na tahadhari.
Hawa voda siwaelewi kabisa yaani GB 1 nimeingia Twitter dakika 20 mb zaidi ya 600 zimekwenda?nimewapigia simu wananiambia nifanye setting ya data usage wakati Siku zote natumia kifurushi hichohicho
Kwani ukiweka stake kubwa hailiwi?hivi unaliwa kwasababu ya stake ndogo au kwasababu umekosea kubashiri?Mimi nafikiri kuweka stake kubwa kunakufanya upate profit kubwa pale utakapo shinda.na utakapoliwa ni kinyume chake.kwahiyo tofauti ni ukubwa wa profits/loss tu.so vinginevyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.