endelea kutafakari... hivi ukiwa kwenye gari bovu likakwama utalisukuma ukiwa ndani yake au itabidi ushuke utafute lingine au fundi mpya akuasaidie.? unaonaje? umewahi kujiuliza kila baada ya miaka mitano unalipatia service, unapaka rangi , na mengine mengine, ukitegemea litafanya kazi yako...
umewahi kufanyia kazi kile ulichofundishwa? unataka ujasiriamali gani kwao wakati fursa ndio hiyo kwao? watanzania bwana!!!! mnatishaaaaa. fanyia kazi kile unachofundishwa kwanza kuliko kuleta mada zinzoharibu uwezo wa mtu kujaribu, na kumkatisha tamaa.
''Aonavyo moyoni mwake .... ndivyo alivyo'' omba mungu ujitambue wewe ni nani na umeumbwa kwa kusudi gani. think out of box. usikariri tu maneno na misemo ya mitaani, jifunze kuelewa jambo kwa undani ndiyo uje na hiyo generalization yako.
Mkuu, tuliza kichwa nielewe, mimi nimesuport mleta mada ya kuwa kweli mungu yupo na anajibu. wewe na akili zako hizo ukadakia mambo ya hirizi... nikajibu ni kweli kama huna mungu wa hirizi watakupata tu. sasa nakuwaje sehemu zote? soma vizuri na elewa mada. usicheze na moto ulao.. neno...
Mkuu, tuliza kichwa nielewe, mimi nimesuport mleta mada ya kuwa kweli mungu yupo na anajibu. wewe na akili zako hizo ukadakia mambo ya hirizi... nikajibu ni kweli kama huna mungu wa hirizi watakupata tu. sasa nakuwaje sehemu zote? soma vizuri na elewa mada. usicheze na moto ulao.. neno...
naomba ushauri, nina hali ya kuona damu ya hedhi siku mbili au tatu kabla ya tarehe za hedhi , kisha inapotea kabisa, alafu baada ya siku tatu ndio naanza kubleed. hili ni tatizo gani na nifanyeje? sikuwa hivi limejitokeza hivi karibuni. naomba msaada kwa anayefahamu.
Mleta mada nadhani hoja hapa ni licha ya kukaa miaka yote hiyo bungeni ni kitu gani amefanya/ wamefanya katika majimbo yao hadi waendelee kupewa kipaumbele. jiulize kama mtu amekaa ubunge miaka 15-20 lkn maisha ya watu wake yanazidi kuwa duni, hivi anapata wapi ujasiri wa kuendelea kugombea na...
Mleta mada... uimara wa nyumba unaanzia wapi???
Usilete mada za kukwepa majukumu, peleka mtoto shule nzuri kwenye msingi. Ningeshukru kama ungekuja na mkakati ni jinsi gani tujadili hizi shule za msingi wapunguze ADA maana ndio janga kuu la kitaifa, lakini watoto lazima wapate msingi kuanzia...
umewahi kuona shamba posta Dsm? hii ndio maana ya "washamba" wanaotokea mashambani. nadhani linatumika vibaya. kwahiyo ni lazima mtu wa shamba na posta au mjini kokote watofautiane. acheni malalamiko watz, wa shamba fanyeni kazi, bila ninyi hatuli jamaniii!
Daaa ! Ukweli nimechoka hata kufanya kazi tena siku ya leo. nikiwaza na huu muda ninaopoteza kwenye foleni kila siku, mwisho wa siku hakuna kitu inachosha sana. kila la heri wabunge wetu. aliyenacho ataongezewa.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.