Nimekusoma vizuri sana Mchambuzi.
Mchango wangu unalenga pande zote mbili, Chama tawala na Upinzani. kwenye swala la urahis sio lele mama, kuna mdau mmoja ametolea mfano kumpa dereva funguo wa gari then akushushe mlima kitonga, dereva kama atakuwa msanii itakuwa ni hatari.
Ninachotaka...
me naona hapa ni kama unawapigia story viziwi, kila anaefuatilia mambo anajua kuwa shekhe alikuwa msanii, hajatekwa bali anataka kuwaaminisha watanzania kuwa serekali yao sio nzuri, mimi siungi mkono hilo swala. serekali ya chama cha mapinduzi ipo thabiti, haitetereki na haiyumbishwi na wahuni.
embu tuwe watu wazima. unajua kuna watu wengine upeo wao wa kufikiria ni mdogo. tunajadili mambo ya msingi ya kujenga taifa mtu analeta utani, embu weka cv yako wewe tuione? tuwe kama watu wasomi.
Nimekusoma sana mdau, na yote unayozungumza ni ya kweli but nataka nirekebishe sehem moja uliposema wakristo tunapata misaada ya kufungua makanisa, vigango na parokia kutoka vatican.
Mimi ni mkristo tene mroma, sio kweli, huo utaratibu ulikuwa zamani. kwa sasa tunachangishana mpaka inapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.