Recent content by Smart mwananchi

  1. S

    Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    Jamani siyo dola 20 na 25 tu inamaana kuwa dola 20 kwa square meter inategemea mteja ana square meter ngapi? Mfano duka la kati ni square meter 30--50 unachukua 40* 20= 800 peleka kwenye Tshs, zidisha kwa 2200 utapata 1760000 kwa mwezi..... hapo unakuta umeme na generetor bado kulipia...
  2. S

    Rais Magufuli amteua Prof Longinus Rutasira kuwa makamu mwenyekiti bodi ya TCAA

    ACP Kedmon Mnubi Kamishina Msaidizi Mwandamizi. Hongera sana....tegemea pongezi zangu tena karibuniii...... Watu tumieni akili nafasi za teuzi zitakuwepo kila siku government is machinery system.....hope mmenielewaaa ....ukishindwa nenda gareji karibu yako uliza sifa za machine/engine
  3. S

    Kubenea, Mwakyembe kakukosea nini? Mbona unamchafua sana, acha kutumika

    Mwakyembe imekuwa mwiba unatamani ...... Ni hatari sana kwa binadamu kuwa n.a. bei ya kununuliwa.......
  4. S

    Kubenea, Mwakyembe kakukosea nini? Mbona unamchafua sana, acha kutumika

    Maskini Kubenea....cjui akili inasafiriiii Leo anamshambulia Rais .....unaweza mlinganisha JPM na Edo..... Kosa kilakitu si akili ya kujitambua
  5. S

    Meya wa Kinondoni amjibu Rais Magufuli, hakuwa na mwaliko wa kuhudhuria uzinduzi wa Polisi

    Meya anabusara...ameonyesha kuna watu wenye hhekima ndani ya ukawa......Polisi mlikosea kutomwalika meya. My President najua utalifanyia kazi
  6. S

    Kanali Lubinga: Mwandishi habari ya kuibiwa Kifaru atasimulia tumemshughulikiaje, ukatili hauepukiki

    Lazima tujue ethics za kila eneo....ni sawa kabisa Alivyosema Kanali....Dira linataka kufanya udalalii Wa habari .....Anayedai haki aende kwenye kambi Atapewa.....Hii ni Nchi siyo chama wala chuo raia Namba moja tupo shida ikitokea hapa wengine mnafikiria mtakimbilia wapi wakati wengine...
  7. S

    Waziri Mwakyembe kulipeleka Gazeti la Dira Mahakamani

    Yes Hii inafaa sanaaa magazeti hayana ethics.
  8. S

    Utapeli wa Mwakyembe wa Sh. Bilioni 2 wamwagwa hadharani

    JWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara. Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
  9. S

    Mafanikio ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) chini ya Juliet R. Kairuki

    My Brother Pascal: Nikushukuru kwa andiko kubwa sina uwakika kama walimu wako wakipitia hapa watakumbuka insha moja kama hii....umewahi kuandika ukiwa shuleni.. Mimi sina shida na utetezi wakooo sanaa ila najiuliza why Julieth? katika wote walioondolewa hakuna aliyefanya kama Julieth? Umepata...
  10. S

    Zijue sababu kuu za waziri Sitta kujitoa mhanga kutetea uongozi wa TPA uliotimuliwa

    Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firahuni. Jana kwa ujasiri mkubwa mzee mmoja six aliyekuwa waziri ametoka akitetea uongozi uliopita wa TPA na Bodi; shida ya kula mnasahauu hata kunawa. Mzee six alinufaika na uongozi wa TPA kinyume na taratibu nitaorodhesha hapa chini ili mzee na spika wetu aje...
  11. S

    Jengo la LAPF Millenium Tower laezuka paaa lote

    [*=2] ASHUKURIWE MUNGU MAANA INGEKUWA NI SIKU YA KAZI LEO TUNGEZUNGUMZA VIFO VYA WATU KADHAA KAMA SIYO MAJERUHIII KADHAA MAANA HUWEZI AMINI KILICHOTEKEA KWENYE JENGO ZURI LA KUVUTIA LA LPF MILLENIUM TOWER. PAA ZIMA LA JENGO LIMEAMUA KUJITUMBUA LENYEWE NA KUANGUKA CHINI KAMA MAJANI YA MITI...
  12. S

    Mwakyembe hali tete jimboni

    ...Ukwelii ndio huo. DR. H. M. Ni material ya kitaifaa..
  13. S

    Mwakyembe hali tete jimboni

    Mwakyembe Ni machine nyingine.....Subiri kuraa
  14. S

    Wananchi wamlipia Fomu ya Ubunge Mwakyembe, Je naye atakatwa?

    Safi sana wanna kyelaa. Mwakyembe ni Jembe
  15. S

    Mwakyembe umetusaliti

    Jembe Mwakyembeee...Prof. Hawezi zama hizii kapoozaa Sana'a. Mziki wa kizazi hiki ni wa Mwakyembe' s type...namaanisha Prof Muhongo...na Dr Magufulii....Hii team mwamaa weee itauaaa mtuu . madalalii wote watarudi kwaooo
Back
Top Bottom