Sababu ipi unajiuliza wakati majibu unayo. Je wasiwasi pia wa nini wakati CCM ilipata kura zaidi ya Milioni 5. Si zaidi ya Milioni 2 za Chadema au ni zile za kuchachua. Ingiwa sipindi kujihusisha na kinachoendelea, ila kwa taarifa kwa wasisi wasi wa wanaccm naanza kuamini kuwa watanzania...
Du Mhe. Pinda, Vipi boss wako umemjulisha nani mwenye mtambo!. Au umeamua kuingizwa mkenge. Kama Raisi hatambui wamiliki iweje tusaini mkataba tena!!!!!
Bora wewe kaka. Kubali yaishe, ila usije ukawa unatetea udini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. Ndugu yangu umeshindwa kuona uozo huu, eti kuna maslai ya Taifa. Iweje wanadai na huku kukiwa na wasiwasi wa kulipwa tena wakubali kuingia mkataba mwingine.
Baba Pinda, Mhe. kuna haja gani ya kununua mitambo hii...
Ndugu zangu watanzania, mabibi na mabwana, vijana na watoto, huu ni usanii ulipitiliza, Je inaingia akilini mitambo yeye utata, mkataba uliokatishwa, kesi imenguruma na bado anadai fidia mitambo yake kuwashwa. Na huu ni kwa mkataba upi. Au ndo maana mhe. Kikwete kasafiri ili aje kusema simtabui...
Safi sana bw. Jatropha kwa kupendekeza huyu mwarabu kuwekwa Segerea. Nafikiri hili liko sahihi, lakini je sheria inasemaje. Na ninani ataamua wakati Bw. Safari tayari huko Ivory Coast!
Ukweli ni upi, je ni kweli kuwa katika kipindi hihi Mhe. Kikwete kawekwa na jeshi. Katika hili, kama mkuu wa majeshi na waziri husika watashindwa kuwajibika, basi tuamini linalosemwa kuwa wanajeshi walinsaidia Kikwete kuchakachua matoke ya uchaguzi :mullet:
ndugu unahitaji kupigiwa makofi :clap2: inagwa wengine watakubeza!!!!. Hakuna haja ya kuwa na wabunge ambao hata mara moja ni kupindisha ukweli kwa ajili ya kutetea maslai binafsi. Mfano mzuri ni wabunge toka upizani " NCCR na TLP" tuliodhani wamechaguliwa kuongeza nguvu, kumbe kelele zao ni...
Huu ndiyo wakati wa akina mama kupigiwa makofi :clap2:. Akishindwa kwa kukidhi matakwa ya waliomweka atakuwa amewadharaurisha akina mama wote. Kipimo cha akina mama kuelekea Uraisi ndo hiki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! :A S 20:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.