Kila siku kuanzia mchakato wa uras uanze ,vyombo vyote vya habari ni LOWASSA tu kwa ubaya au uzuri wake,mitandaoni ni lowasa tu jamani nimekubali huyu bwana ni mwanasiasa mkubwa sana.Nafikiri kumlinganisha na MAGULI ni kosa mana ukiandika habari ya magufuli bila ya lowasa cku hiyo hautapata soko...
huyu jamaa yuposahihi lkn hamumuelewi ukiwa kwenye shughuli za chama tumiavyombo vya chama ukiwa kwenye shughuli za serikali tumia vya serikali.Huyu bwana alikuwa akilalamikia matumizi ya mali ya serikali kwa shughuli za chama kwa mawaziri na rais sasa kinachomshangaza ni kimkuta aliyekuwa...
huyu jamaa yuposahihi lkn hamumuelewi ukiwa kwenye shughuli za chama tumiavyombo vya chama ukiwa kwenye shughuli za serikali tumia vya serikali.Huyu bwana alikuwa akilalamikia matumizi ya mali ya serikali kwa shughuli za chama kwa mawaziri na rais sasa kinachomshangaza ni kimkuta aliyekuwa...
bilioni 5 hata miraji kikwete anazo na kununua nyumba km hizo je lowasa,mlieahi kumwandika sumaye kuwa ana matrilioni nje baada ya uchsguzi kimya,tafuteni uchafu mwingine huu timesha zoea tangu zamani.
llema hata azindue chuo kikuu aliyojenga sitamwelewa kwakuwa haikuwa sehemu ya kampeni yake,mpaka kwanza azindue machinga complex mana ndo iliyomuingiza bungeni ndipo nitakapo mwelewa.
llema hata azindue chuo kikuu aliyojenga sitamwelewa kwakuwa haikuwa sehemu ya kampeni yake,mpaka kwanza azindue machinga complex mana ndo iliyomuingiza bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.