Kampuni ya kimataifa ya ulinzi security group inawatangazia nafasi 100 za kazi kwa waliohitimu JKT tu. Mahali pa kazi ni Dar es salaam.
Barua ziandikwe kwa:
Meneja Mwajiri
Security Group (T) Ltd
P.O.Box 9390
Dar Es Salaam
Kwa mawasiliano zaidi: 0784 781 525
Barua zitumwe kabla ya...
SECURITY GROUP T LTD ARUSHA BRANCH invites application from suitable qualified Tanzanians for position of ALARM TECHNICIAN
QUALIFICATION
1. Must have knowledge of electronics and alarm system.
2. Ordinary level and above.
3. must be computer literate.
4. must write and speaks English...
Kampuni ya ulinzi ya Security Group inatangaza nafasi za kazi ya ulinzi kwa wenye sifa zifuatazo;
1. Lazima awe raia wa Tanzania
2. Umri kuanzia miaka 21 hadi 35
3. Elimu kidato cha nne ambaye amepitia JKT (kwa aliyepitia JKT peke yake kama anazungumza kiingereza atapewa...
Mkuu katika dunia ya leo hakuna kazi isiyo ya hatari, na hakuna kazi ambayo haihitaji usalama. Ulinzi wako na rasilimali zako ni wa muhimu.
Unapoanzisha biashara yako au taasisi jambo la kwanza kuliko zote ni security.
Mkuu haina maana hiyo, ni taratibu zilizowekwa kwa majeshi yote, lakini unaweza kuwa mfupi lakini ukawa mpana halafu mkakamavu unaweza kuficha ufupi wako hapo.
Karibu Security Group
Mshahara kwa mwezi uko hivi:
Basic - Tsh 150,000 + Overtime.
Zingatia kuwa kwa kazi zetu za ulinzi OT haikwepeki, hivyo on daily basis askari anapata OT ya Masaa 4.5hrs mara siku alizofanyia kazi. Askari anafanya kazi siku 6 kwa wiki, siku ya saba anapumzika, hivyo mfano ameenda off 4 kwa mwezi...
JOB VACANCIES
Security Group, a leading Security firm with a presence in the East African Region invites applications from suitably qualified and experienced candidates for guarding. The place of recruitment and work will be in Dar Es Salaam.
Candidates must be of Form Four leavers or JKT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.