Ukweli siku zote humweka mtu huru na kwakweli inapendeza pale unapokuwa mkweli lakini tambua kuwa ukweli una gharama zake na ndo maana unauma au ni mchungu.
Kila mtu anatamani kuwa na maisha mazuri, kama ukweli wako utamfanya ahisi kukosa maisha mazuri lazima akukimbie.
Kila mtu anapenda...
Pole sana mkuu kwa kutaabika huko lakini ni bora ukazungumzia nafsi yako maana waijua vilivyo na hakika nafsi hukwambia ukweli kuhusu wewe lakini bahati mbaya ni kwamba nafsi yako haiwezi kukwambia ukweli kuhusu nafsi ya mtu mwingine.
Hivyo napenda kukushauri usijiaminishe kuwa unvyohisi ndivyo...
Ukimjua Mungu vizuri huwezi babaishwa na maigizo ya watu kwa kigezo cha dini. Mungu hufanya kitu ili utukufu apewe yeye na si apewe mwanadamu ila ukianglia watenda miujiza wa siku hizi wanafanya maigizo huku makamera yamejaa ili ulimwengu uwakubali kuwa wanaweza na kwa njia hiyo wajipatie...
Umenifurahisha sana rafiki, kana kwamba ulikuwa kwenye akili yangu. Hakika nisingepitia michango ya watu kwenye uzi huu na kukuta maoni yako huenda maandiko yetu yangefanana kwa 90%
Barikiwa kwa ushauri mzuri rafiki yangu wa MMU
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Kwanza kabisa nikwambie; kuumizwa na jambo usilolitegemea hasa katika mapenzi ni jambo la kawaida ila maumivu yakae kwa muda gani inategemea na maamuzi ya mtu.
Moyo au kwa maana nyingine fikra za mtu huwa namna mtu anavyotaka ziwe, ukitaka usiumie hakika hautaumia na ukitaka uumie utaumia...
Sawa rafiki nashukuru, tutazidi kushauriana na wapendwa wa MMU kadri itakavyowezekana. Maisha yanawahusu watu, watu ni mimi, wewe na mwingine. Kila mmoja ana nafasi ya kumfanya mwenzake atabasamu.
Kwanza nikupe pole sana kwa yaliyo kukuta rafiki mpendwa wa MMU.
Wakati mwingine Mungu huruhusu tupitie maumivu ili tuweze kupata kilicho bora, ukweli katika mahusiano yako unapaswa kumshukuru Mungu sana tena sana kwa kukuonyesha ni namna gani huyo binti hafai kuwa Mke bora kwako, Mshukuru...
Kesi ya mwanamke usimpelekee mwanamke maana huwezi jua kapitia nini kwenye mahusiano ambayo amewahi kuwa nayo, hivyo nashauri uzungumze naye wewe mwenyewe kinaga ubaga rafiki tena seriously. Huyo ni mke wako siyo hawara wala girl lover.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.