Wewe naona hujawaza vizuri maisha yanavyobadilika. Ukioa huyo msaidizi wa kazi baada ya muda atajifungua, naye atahitaji msaidizi. Msaidizi atakuwa anafanya shughuli nyingi kushinda mama. Hapo unafikiri ni nini kitakuzuia kutompenda huyo msaidizi mpya?
Mbona unasema stori za vijiweni wakati sisi tunaona tangazo (banner) likipita kwenye screen kuwa star times wanatuarifu startv imejitoa katika orodha za chaneli zao.
Ikiwa kweli kuna mtu unampenda wala si tatizo....manake kupenda kunakwenda na kusacrifice. Ukipenda unaweka nukta unasema sasa basi sitaki tena habari za kuwa na kila anayevutia macho yangu. Ukiamua hivo itakusaidia. Kama huwezi basi usiidhulumu nafsi yako.
Wenzio tukiona tuliye naye hatongozwi tunakuwa hatuna amani. Tunajiuliza inamaana nimebeba mzambia au ni kimeo kiasi kwamba hakuna anayemtaka?? Mimi nakushauri utulize moyo. Manake hata ukimwacha ukatafuta unayefikiri hatatongozwa utashangazwa zaidi. Cha msingi ni uwe na mchumba mwenye msimamo...
Tatizo si bangi.....tatito ni sababu inayokupelekea kuvuta. Vitu kama bange vina kiasi ambacho usipozidisha haviwi na madhara makubwa. Kutokana na hiyo sababu yakutaka kuvuta ili urelax inawezekana ukajikuta siku zinavyoenda unaongeza kiasi cha kuvuta kadri unavyoizoea na kukupelekea kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.