Mwenyewe rais anasema ktk hutoba zake kuwa nchi imechezewa zaidi ya miaka 50 akimaanisha tawala zote zilizo wahi kutawala kuazia mpigania uhuru baba wataifa, mzee mwinyi, mkapa, kikwete.
Mleta mada anapo muangushia zigo kikwete tu nadhani anayake zaidi ya haya aliyo yaanika juu ya kweta.
Lakini...
Aroon...Uislam wa kikwete hauna uhusiano na katiba na sheria za jamhuri ya muungano wa tz.
Yeye alikuwa rais wa JMT hakuwa rais wa waislam tu na alikuwa na wajibu wa kuilinda na kuiheshimu katiba ya JMT kama alivyo kula kiapo.
Usiuhusishe imani ya rais na watuhumiwa wajubu wake ni kuilinda na...
Kila kitu ni msingi bila msingi imara na madhubuti hakuna uimara wa jambo husika.
Muungono wowote huwa ni bora lakini munao ungana muwe na nia moja iwe ni muungano wa nchi na nchi au kibiashara na hata wa kimapenzi.
Kama kutatokea muungano halafu kukawa na nia tofauti ya nia ktk muungano lazima...
Umezipost wapi mm sijaziona.
Nataka ufahau hata sheria za nchi zipo zinazo ruhusu kuuwa achilia mbali dini kama uislam au ukiristo nk.
Lakini ninani anae uliwa ni mtu aliethibitika na kosa lenye hukumu ya kuuwa?
Kwahiyo uislam unaruhusu mtu kuuliwa pindi mamlaka za kiislaam zikithibiti kosa...
UISLAM unakataza kuuwa na kufanya dhulma ya aina yeyote ile.
Hakuna ktk quraan panaporuhusu mtu kumdhumu binaadam mwenzake iwe uhai au mali nk.
Hakuna aya ktk quraan inayo toa fursa kwa ugaidi au muuwaji yoyote yule.
Usiuchafuwe uislam kwa kosa la muislam nakama unachukia muuwaji kweli basi...
Mwakajembe kama kuna mtu anahusisha uislam na ugaidi wala sio tatizo huo utakuwa ni mtazamo wake binafi.
Lakini kama na ww umo ktk hao basi mm nataka kukuambia uislam sio mtu sio taasisi wala taifa UISLAM NI QURAAN.
Kama wako waislam magaidi huo ni wakwao binafsi ingawa mm sijui maana ya...
Usipate tabu ya kutaka kujua sheria watakayo tumia ww jiandae kuanzia tar 29/05 nenda znz anza kula tokea kwenye boti au ndege mpaka unapo fikia ww kula tu wakikutia mkononi ndio utapata jibu lake.
Nia yangu nikujua sio ushindani lakini nahisi ww unadhani mm nahitaji ushindani.
Basi mm nimefikia mwisho mzee wangu.
Nimetosheka na majibu yako jazaak lkheir..
Mzee muhamed swali langu linatokana na maelezo yako ya awali huko mwazo mwa post hii.
Nanukuu...Alipo kuwa uingereza aliulizwa..
"Je nchini kwako kuna siasa za vyama vingi vinavyoshindana huenda wale wakagombana wasiwafikiane? Mwisho wa kunukuu.
Ndio maana nikakuliza swali lile,
Mzee MS naomba nikuulize kitu nisicho kijua hivi hawa watu wanaoitwa wakoloni waliotawala hizi nchi za kiafrika ikiwemo hii znz waliruhusu siasa za vya vingi ktk nchi walizo zitwala kwa wakati wanatawala?
Nakama waliruhusu ni nchi zipi hizo?
Na kama waliruhusu mfumo wa vyama vingi kama ingetokea...
Hapa kuna vita tutasikia hizi kelele tu unazo ziita mipasho.
USA ili aipige IRAN nilazima atokee ktk ardhi za waarabu.
Na waarabu wote wanamuogopa Muiran ikulu ya tehran imeshatoa matamko mengi tu juu ya nchi itakayo ruhusu USA kutumia kurusha kombora tehran.
Tehran imesema ikipigwa na usa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.