Hachana na hizo post zinawenyewe hizo, kwani usiwe mwandishi wa habari upate kipato chako halali? shauriako my .. was there? hapafahi kabisa kama hauna network yakueleweka, fikiri hata ualimu m2 wangu riziki ni kokote au haulifahamu ili kama vipi kuwa hata karetia si umesema upo vizuri?
Hata mimi namuunga mkono huyu jamaa, offcoz Edward ni mtu aliyekumbwa na kASHFA ya Richmond but yupo vizuri mno katika uchapakazi kushnda huyu Bwana Mizengo. wewe mwenye fikiri tangu unasoma shule ya msingi hadi hapo ulipo sasa, walimu wako walikuwa wanakwambia Waziri Mkuu ndio mtendaji Mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.