Iliweza kumtokea Roberto Baggio fainali ya World Cup,ikamtokea John Terry Finali ya UCL eti iwe ajabu kwa mnyarwanda mmoja kwenye Bonanza la kisiasa Zanzibar?watu wamejaa upumbavu mpaka kwenye kope aisee
Unafahamu vema kuwa Kennedy Wilson Juma ni mchezaji wa zamani wa Singida??Kwahiyo ile "assist" yake kwa Rupia,tena bila presha yoyote,akiwa kwenye boksi lake la 18 iliuwa ni kwasababu ni mchezajiwa zamani wa Singida??Nchi ina watu wana akili chache kweli hii
Eti "maelfu",afu wakakaa wapi hapa kweney kibarabara kidogo hiki hapa forest??Mnongeza sana chumvi na kuleta upotoshaji usio kuwa wa lazma.Kiini cha habari kizuri na kina maana ila hakukua na sababu ya hizi exaggeration zisizokua na msingi
Huyo dogo pichani anajinasibu kwa uwazi kutoa pesa kwa uchawi na nguvu za giza,anafanya visomo na huwa ana demonsrate kabisa live huko mjini Instagram.Nafikiri zina uhusiano wa moja kwa moja na mada ilioletwa mezani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.