am Rita J's. i always visit this site but yesterday i decide to join. I hope you can ope the door for me to share my ideas with the whole tanzanian community.
Ukweli ni kwamba sisi watanzania wenyewe naona tunajitakia huu umaskini!
nasema hivyo kwa sababu watanzania tumekuwa tukifumbia macho matendo yakidhalimu yanayofanywa na viongozi wetu kufikia hatua hata nchi zingine wanatushangaa. tanzania inasifika kwa kuweka mipango madhubuti lakini...
wanawake wenzetu hutumiwa kama vyombo vya starehe na hawa wakubw so msishangae mwenzetu alivyosema mchapakazi alikuwa na maana nyingine (alitumia tafsida kidogo)
Thank you for the information. i like the wildlife and i wish they can be protected. i think the main reason here might be personal. may be there have to be the direct debate with JK may be he will give the reason if not to me it's personal as many Tanzanian leaders nowdays do every thing they...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.