Mie naomba nifahamishwe jinsi ya kutengeneza za maziwa natengeneza za ubuyu na ukwaju ila wateja wanataka za maziwa.
Yanatumika ya unga au?
Vipimo maji sukari maziwa je?
Natanguliza shukran
Ye mwenyewe kakuchoka anakuvumilia tu kwa kua mnawatoto pamoja.
Mianaume mingine sijui ikoje:mad:..yaan unakuja jf kuandika pumba ivi ili nani akusifie? Wengine wanafurahia mke anaependa asili yake ndo mpango mzima we untaka wakichina wale akinawa uso unajiuliza ndo yeye au mwingine.
Challenges ni nyingi my dear..ila kwanza kubali kudharaulika mana wengi uwa wanajua sababu ya wewe kua single mother uhuni.
Pili mtoto anapoona wenzake na baba kwa (yule mwenye ifahamu) lazima ataabza kuuliza
Tatu chochote kibaya akitenda mtoto kwa bahati mbaya utaskia sababu analelewa na mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.