Pipooziiiií, Arusha msilale lale lalee Arusha msilalee bado mapambano, hu wimbo unanikumbusha mbal kwel,,hongereni sana makamanda kwal arusha ndo chanzo cha ukombozi tz...ccm nawapa pole ila mlishndwa tu kusoma Alama za nyakati, au hamkujua mko Arusha? .arusha mpaka kuku, ng'ombe,wote wana chata...
hahahahahahaaaa me sisemi jaman nina furaha isiyo kifani na uhakika wa kushikilia nchi 2015 tunao'..ARUSHA maisha lainiiiiiíi, pipoziiiiíiii powerrrrrr
we Msolwa unaönekana sio mwenyeji wa Arusha, hv unajua Arusha wote ni chama gan?.we kama huiwezi siasa kaa kmya maana we mwenyewe kwanza hujijui ni Taifa gan, acha wa2 wa Arusha 2pganie haki yetu, we ni kilaza tuu huna swaga..sio ajabu hata Arusha hujawahi hata kufika unaiona tu kwenye...
mim nilikuwa naomba mnisaidie hapo kwenye sekta binafisi za biashara na viwanda, hapo vp mbona me cjaelewa wameweka kwenye kundi gan kati ya hayo? Maana me cjaona sehemu inayozungumzia kima cha chini cha viwanda na biashara, ningeomba mnisaidie hlo labda me ndo cjaelewa..Asanten wakubwa
tunawashukuru sana makamanda kwa kutujulisha kinachoendelea kwenye uchaguzi Arusha,,,me ninachomuomba Mungu ni amani itawale,,,najua watu wa arusha wapo vizur na chadema,,chadema in our blood Arusha,.ccm polen ila itabid mkubaliane na matokeo... japo nipo nje kidogo na Arusha lakn tupo pamoja...
hahahahahahahahaaaa hyo kali kweli,, huyu changu alifikiri na yule mke wa jamaa anajiuza ikabid amwambie achukue chake mapema,.yalaaaaaaaaa hahahahahaha te te te teee. Tobaaaa
hahahahahahahahaaaa hyo kali kweli,, huyu changu alifikiri na yule mke wa jamaa anajiuza ikabid amwambie achukue chake mapema,.yalaaaaaaaaa hahahahahaha te te te teee. Tobaaaa
hahahahahahahahaaaa hyo kali kweli huyu changu alifikiri na yule mke wa jamaa anajiuza ikabid amwambie achukue chake mapema,.yalaaaaaaaaa hahahahahaha te te te teee. Tobaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.