Nakushauri utembelee wanunuzi wa kuku aina unayotaka kufuga kuweza kupata uhakika na ukubwa wa soko. Unatakiwa kupata taarifa za soko la kuku kwa msimu mzima wa mwaka. Kama kuna kuyumba kwa bei unatakiwa kujua vema. Pili tembelea wafugaji wanaofuga maeneo yako kupata gharama halisi za uzalishaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.