Recent content by paulbjerk

  1. paulbjerk

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    wajueni kuwa mara kwa mara nacheki hizi forums ili kujua watu wanajadili mada gani za kihistoria. Ningefurahi kabisa kukukumbuswha na zile stori za ikulu na Mwalimu Nyerere. ... Kumbukumbu za Joan Wicken zimechapishwa sasa na Mkuki na Nyota (zinaelelewa vizuri katika biografia ya Othman, Kamata...
  2. paulbjerk

    Kitabu Kipya Kuhusu Siasa za 1960-64

    Mzee, kitabu kinapatikana kwa Boydell & Brewer. Ukiagiza na offer code MKPC01, ni USD 90.
  3. paulbjerk

    Kitabu Kipya Kuhusu Siasa za 1960-64

    Waheshimwa, nafurahi kutangaza kitabu kipya kuhusu Mwalimu Nyerere na siasa za miaka ya kwanza baada ya uhuru. Kwa bahati mbaya hardcover inayopatikana sasa ni gharama sana, lakini nategemea softcover itakuja kwa bei nafuu. Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of...
  4. paulbjerk

    Mungu naomba uniweke salama nishuhudie Lowassa akiapishwa

    Hawa waimbaji sifa wanalipwa au vipi? Wana-JF wawe macho ili kubainisha wanaoleta mada na wanaotoa tangazo
  5. paulbjerk

    Kuelewa picha ya Nyerere, Kawawa, Kambona 1960s

    Sijui, inaoekana picha haionekani. Nitajaribu attachment tena.
  6. paulbjerk

    Kuelewa picha ya Nyerere, Kawawa, Kambona 1960s

    Wana-JF, Naomba msaada kutambulisha ni tokeo gani katika picha hii. Naikadhiria kuwa 1964 lakini inaweza kuwa kabla au baada ya hapo. Nawatambua Oscar Kambona, Rashid Kawawa, na Mwalimu Nyerere, lakini siwafahamu wengine, wala kujua askari mzungu ni nani. Asanteni kwa msaada wowote. Paulo
Back
Top Bottom