halafu mara nyingine huwa nawashangaa sana hawa watu, huo usawa wanaousema ni ule ule unaofahamika mpaka kwenye kamusi au wana maana yao? Hivi na waliochomewa kanisa wakitafuta usawa kwao kwa kuchoma msikiti itakuwaje..mie huwa siwaelewi kabisa...they are best in complein..muwe mnapima...
Kweli ndugu yangu nakusifu kwa kuliona hilo na kutambua kuwa kuna ulinzi mkali..haswaaa hilo ndo linalotakiwa kwao kwa sasa. Historia na matukio yanayowahusu ndio yanayosababisha nakulazimu kuwe na ulinzi huo..wenzetu wale huwa hawana subira wa stahaa kujua kila shughuli ina utaratibu fujo kwao...
Sasa Mandi umeona nimeweka msimamo wangu hapo...mbona unakurupuka hivyo..mie nimetoa mtazamo wangu tu. Kimsingi siupendi muungano kabisa, kwa sasa hali ya usalama tanganyika tunajimudu sio kama mapoyoyo ya huko wasiojua mbele wala nyuma zaidi ya majambia tu!
Safi sana..Lakini swala la kushukuru la nini sasa, wangekuwa wanatoa mshahara na ki'note' cha kukushukuru kwa kufanya kazi sawa na sie tungestahili kuwashukuru kwa kutupa mshahara mapema...! Kazi yao hiyo haihitaji shukrani, kila mtu afanye wajibu wake!
Siku huu muungano ukivunjika ntashangilia sana mana ishakuwa kero sana...hasa kutoka kwa wazanzibar! Jamani nimesoma nao hawa watu,,,hahaha ni wabinafsi na wabaguzi sana, ukianza jadili hoja ya Muungano bado hawana hata hoja za kusimamia!
CCM wasiwe wanafiki kiasi hicho, kwani hawakuweza weka hadharani madai hayo tangu awali kesi inafunguliwa..mbona viongozi wao wajuu wanajivunia sana kuchukua vitongoji na mitaa iliyokuwa ikishikiliwa awali na CDM..!
Waache unafiki kabisa...imekula kwao...na tunahitaji tuone nguvu ya mahakama...
Ukiona mtu anajikuna basi kaguswa...mpaka imefikia kulifunga basi serikali imeona ukweli unazidi kuwekwa hadharani...hima hima magazeti menginefungukeni kwa speed kuanika ishu za hawa wakuda...watafunga magazeti lakini uelewa hautafungwa...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.