Recent content by patrick80

  1. patrick80

    Shehena kubwa ya mafuta na sukari yakamatwa Arusha

    Ukichukua vijana tunao waita macargo hawawezi kuzidi 6 Kupaikia huo mzigo na bei ya kupakia itakuwa si zaidi ya 70 elfu mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
  2. patrick80

    Rais Magufuli anastahili tuzo ya Mo Ibrahim

    Utakuwa umevuta
  3. patrick80

    CCM na Viwanda: Safari isiyo na Kituo (No Destination) - Hakuna Mwendelezo, Ni ‘Management by Hit’

    Hebu tupe mrejesho tangu tumeimbiwa wimbo wa viwanda ni kiwanda kipi kimejengwa?
  4. patrick80

    CCM na Viwanda: Safari isiyo na Kituo (No Destination) - Hakuna Mwendelezo, Ni ‘Management by Hit’

    Yaani umekuwa wa ajabu siku hizi mpaka unakera.Nende kule kwenye jukwaa lako ulilo zoea huku hupawezi na hiyo mipasho yako
  5. patrick80

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Mhhh kumbe hayo ndo matusi vilumumba vinakuja hapa kusema sugu alimtukana mzaliwa wa nzera geita na muamihaji wa chato? Ndo maana tukiwambia wasema hapa hayo matusi hawawezi kusema.Lumumba hovyo sana
  6. patrick80

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Sema kosa lenyewe basi nasiye tujue.Kma ilifikia wakati hakimu anasema mbele ya Sugu kuwa kesi yake inampa wakati mgumu huwezi kujiuliza.Jiulize basi jk na uchafu wake wote hakuwahi kupiga kiasi hicho.Badala muulize 1.5 zilienda wp nyie mnakomaa na mwandosya na sugu
  7. patrick80

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Ulivyo na wivu ati mwandosya anatibiwa na serikali mara aliteuliwa na magufuli kuwa mlezi wa chuo.Kwa hiyo unataka kipara ngoto amfanye nini prof? Uzi umekaa kiwivu wivu.Kama hakufungwa kisiasa alifungwa kwa ajili gani? Alafu ulivyo muongo eti katoka kwa msamaha wa rais. Msamaha unasubili...
  8. patrick80

    Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

    Tukumbushe Lema alifungwa kifungo kipi?
  9. patrick80

    Polepole awaonya wote wanaomtukana Rais Magufuli kwa kisingizio cha kukosoa

    Anatukana au anaambiwa? Mfano sasa hivi anasema hawezi kimpa mtu mkopo aliye soma privet. We hiyo unaichukuliaje kwa mfano. Ukikosoa unaitwa mtukanaji.Yeye ni bingwa wa kejeli na matusi akirudishiwa achukulie poa
Back
Top Bottom